Ukawa wafafanue maana ya kauli yao
Kwa mara ya kwanza tangu ulipomalizika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ametoa kauli inayoashiria amekiri kushindwa aliposema: “Nimeshindwa pambano lakini si vita.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wazazi wa Sotlof watoa kauli yao
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wazee Kyela wajutia kauli yao
WAZEE kutoka Kata ya Ipinda wilayani hapa Mkoa wa Mbeya, wamejutia kauli waliyoitoa kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, kuwa chaguo lao ni...
10 years ago
Raia Tanzania10 Aug
Kauli ya Lowassa Ukawa izingatiwe
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) ambaye pia ndiye mwakilishi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana alizungumza na wanachama wa vyama hivyo na kutoa kauli inayostahili kuungwa mkono na wapenda amani wote nchini.
Mgombea huyo, Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya mkataba wa kufua umeme wa kampuni tata ya Richmond, Edward Lowassa, jana alikuwa Makao Makuu ya Chama cha Wananchi (CUF), Buguruni jijini Dar...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
UKAWA: Puuzeni kauli za CCMÂ
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umewataka Watanzania kupuuza kauli za viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwakuwa hazina lengo la kuwasaidia katika mchakato wa uundwaji wa katiba mpya. Mmoja...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
UKAWA fanyieni kazi kauli ya Kikwete
OKTOBA 8, mwaka huu wakati akipokea katiba inayopendekezwa , Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake amewapa kazi viongozi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Wananchi (UKAWA). Akiwahutubia wananchi waliofika...
9 years ago
Vijimambo25 Sep
Kauli ya Ukawa kususia uchaguzi yaishtua Nec.
Hata hivyo, Nec imetetea kauli iliyotolewa Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya Mgombea urais ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, kwamba CCM haitakubali kuiachia Ikulu Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian...
9 years ago
VijimamboKAULI MPYA YA MKAPA KUHUSU UKAWA, SOMA HAPA
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM.Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tatu alisema kuwa lengo la vyama vya upinzani ni kuing’oa CCM na lengo la chama hicho tawala ni kuendelea...
10 years ago
Vijimambo11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Kauli za viongozi wa dini kwa UKAWA zina kasoro
MATAMKO mengi yaliyotolewa na viongozi wa dini dhidi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), yakiwakejeli na kuwataka warudi kwenye majadiliano ya katiba mpya katika Bunge Maalum baada ya kuisusia...