Ukawa waitikisa CCM Arusha Mjini
*Matokeo ya awali, Lema aelekea kushinda ubunge
*CCM, CUF waumana Handeni Mjini, Wachachewajitokeza
NA WAANDISHI WETU, ARUSHA/TANGA
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema, anaelekea kurejea tena bungeni huku akimwacha kwa mbali mpinzani wake, Philemon Mollel wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika matokeo ya awali ambayo yalibandikwa vituoni katika baadhi ya kata za Arusha, yanaonesha Lema anaongoza takribani katika vituo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PWYWxymBmoE/VU9NXEJueMI/AAAAAAAHWiU/UGMcE_kXSQo/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
CCM ARUSHA YATOA ONYO KWA WALIOTANGAZA NIA ARUSHA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PWYWxymBmoE/VU9NXEJueMI/AAAAAAAHWiU/UGMcE_kXSQo/s640/unnamed%2B(44).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tx36ZELsiq0/VU9NXujyl1I/AAAAAAAHWiY/RPOHoqQlydI/s640/unnamed%2B(45).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-vBidGMlhNEI/VQ2rMlo3aqI/AAAAAAAAYnc/9WqAQ6p9b8Y/s72-c/3.jpg)
CCM YAITIKISA ARUSHA MJINI KINANA NA NAPE WAAHIDI KURUDISHA CHAMA KWENYE MSTARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vBidGMlhNEI/VQ2rMlo3aqI/AAAAAAAAYnc/9WqAQ6p9b8Y/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XAyBN99fBWM/VQ2rOejHF7I/AAAAAAAAYns/ptaSouZAMdI/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--nzx5GKBAMA/VQ2rRVuSJNI/AAAAAAAAYn8/yEjtOmRAvxM/s1600/8.jpg)
9 years ago
Habarileo12 Dec
Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge kesho
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini, watafanya uchaguzi wa wabunge wao kesho. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, alisema hayo jijini Dar es Salaam jana.
9 years ago
Habarileo13 Dec
Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge leo
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini mkoani Tanga, watafanya uchaguzi wa wabunge wao leo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1mUMSKOrwpI/VbtrDmMVuYI/AAAAAAAB_Yc/gy_qS_9PwCY/s72-c/mahiga.jpg)
BALOZI DR. MAHIGA DAWA SI KUHAMA CCM ASEMA YEYE NI MKOMBOZI WA CCM IRINGA MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1mUMSKOrwpI/VbtrDmMVuYI/AAAAAAAB_Yc/gy_qS_9PwCY/s640/mahiga.jpg)
Na matukiodaimaBlogALIYEKUWA balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa (UN) na mgombea urais katika mchakato wa ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) balozi Dr Augustono Mahiga anayeomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM amewashangaa makada maarufu wa chama hicho walioshindwa katika mchakato wa ndani ya chama kwa nafasi ya urais kuhama chama hicho kuwa hao hawakuwa na mapenzi ya kuwatumikia watanzania na kuwa watazunguka kote ila...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYl0VW2pmfttQYpoG5mNOgSkfP4P0bfA*p-4Id37JsRsCnth0MtIFQYD4kc6f*0E9BET9SRRI0ZtwJJKUg7Xir*3/1ukawa.jpg?width=650)
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Dk. Magufuli arusha kombora Ukawa
NA BAKARI KIMWANGA, GEITA
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa kwa kuzungusha mikono, bali yatakuja kwa kufanya kazi.
Kutokana na hali hiyo, amesema yeye ndiye anayeweza kuleta mabadiliko ya kweli yanayokwenda na vitendo katika kujenga uchumi wa nchi na watu wake.
Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipokuwa akizungumza wakati wa mikutano ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Buchosa, Geita na...
10 years ago
Habarileo04 Dec
Arusha wazika ndoa ya Ukawa
VYAMA vinne vya upinzani vilivyoungana na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeshindwa kuachiana nafasi za uongozi mkoani Arusha, katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14.