CCM ARUSHA YATOA ONYO KWA WALIOTANGAZA NIA ARUSHA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PWYWxymBmoE/VU9NXEJueMI/AAAAAAAHWiU/UGMcE_kXSQo/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arusha,Feruz Bano (kushoto) akimkabidhi kitabu cha kanuni za uchaguzi wa CCM mgombea aliyetangaza nia ya kuwania ubunge katika jimbo la Arusha mjini,Kim Fute jana ofisini kwake mara alipofika kujitambulisha na kutangaza nia.
mgombea aliyetangaza kuwania nafasi ya ubunge kupitia CCM katika jimbo la Arusha mjini,Kim Fute akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya katibu wa chama hicho wilayani Arusha jana alipofika kujitambulisha na kutangaza ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Waliotangaza nia CCM kikaangoni
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Waliotangaza nia CCM waguswa na kauli ya JK
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Ukawa wawaponda waliotangaza nia CCM
10 years ago
Mwananchi07 May
DC Arusha amfagilia aliyetangaza nia CCM
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Kamati ya Maadili CCM yatakiwa kuwashughulikia waliotangaza nia
5 years ago
CCM BlogGAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
10 years ago
Michuzi24 Jul
WATIA NIA CCM WAENDELEA NA ZIARA YA KUJITAMBULISHA KATIKA KATA MBALIMBALI JIMBO LA ARUSHA MJIN
![SAM_4061](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/M4WAho2bXxAtSAob2K6vIj6VHqF-RxAuo2GjJfx0y6b4zhLdEOl6TdElQbjxofkE9K5YlMaLT2jQEUMjW5ZQqZEskpK2O_92XHruJ2Xudw9deGk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4061.jpg)
![SAM_4098](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/deX0ata86eL8aLwIo_1BAIUV9SJiw40In8CnfcjIy_jQG4f8nio6z8zJYt-edXq_xwxS4H5AuTMqRkJ4BfxS-MEHbWg3rwUfQ2YE8FqTyaVtFNA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4098.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Ukawa waitikisa CCM Arusha Mjini
*Matokeo ya awali, Lema aelekea kushinda ubunge
*CCM, CUF waumana Handeni Mjini, Wachachewajitokeza
NA WAANDISHI WETU, ARUSHA/TANGA
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema, anaelekea kurejea tena bungeni huku akimwacha kwa mbali mpinzani wake, Philemon Mollel wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika matokeo ya awali ambayo yalibandikwa vituoni katika baadhi ya kata za Arusha, yanaonesha Lema anaongoza takribani katika vituo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s72-c/SHANA-NA-LEMA.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LATOA ONYO KWA WAVURUGA AMANI PAMOJA NA MADEREVA WALEVI NA WASIOZINGATIA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s320/SHANA-NA-LEMA.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Arusha limetoa onyo kwa watu wachache wanaopenda kuvuruga amani katika kipindi cha sikukuu na kuwataka waache mara moja kuwa na fikra hizo kwani watachukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shana amesema kuwa kwa upande wa madereva wa vyombo vya usafiri ni marufuku kuendesha vyombo hivyo wakiwa wamelewa ,mwendokasi pamoja na kujaza abiria kupita kiasi kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yaoAidha...