CCM yatabiri ndoa ya Ukawa itavunjika
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa ndoa ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) si tishio, kwani hizo ni porojo tu na haitaweza kudumu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Hali ya Hewa yatabiri mvua za maafa pwani
10 years ago
Habarileo04 Dec
Arusha wazika ndoa ya Ukawa
VYAMA vinne vya upinzani vilivyoungana na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeshindwa kuachiana nafasi za uongozi mkoani Arusha, katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14.
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
UKAWA watadumu katika ‘ndoa’ yao?
MENGI yamesemwa kuhusu muungano wa vyama vya CHADEMA (CDM), CUF, NCCR-Mageuzi na NLD vinavyounda Umoja wa kutetea Katiba ya Wananchi (UKAWA). Kama mara mbili hivi huko nyuma niliandika makala za...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-5-iHInLI3GM/VE8gdWif1nI/AAAAAAAABuk/rr4gr6hcMiI/s72-c/philip_mangula-1.jpg)
CCM: Ndoa ya wapinzani ‘feki’
Yasema kuing’oa madarakani ni ndoto za alinacha Viongozi wa vyama vilivyoungana kila mmoja anatafuta ulaji Mangula awaonya viongozi wa wilaya kutowagawa wanachama
NA SELINA WILSON
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitishiwi nyau kuungana kwa vyama vinne vya upinzani kwa lengo la kuking’oa madarakani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-5-iHInLI3GM/VE8gdWif1nI/AAAAAAAABuk/rr4gr6hcMiI/s1600/philip_mangula-1.jpg)
Kimesema muungano huo wa wapinzani si halali na ni sawa na ndoa ya mkeka.
Pia kimesema ni ndoto za alinacha kwa wanandoa hao wa msimu, ambao kila mmoja anatafuta ulaji, kuing’oa CCM, ambayo...
9 years ago
TheCitizen20 Sep
CCM desperate : Ukawa
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
UKAWA yaikwamisha CCM
JITIHADA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) za kutaka kurekebisha kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, ili kutumia wingi wake kupitisha ibara na sura za rasimu ya katiba kwenye kamati zimegonga...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
UKAWA, CCM wakwama
MAZUNGUMZO yanayoendelea kuhusu jinsi ya kunasua mchakato wa katiba mpya kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), yanaelekea kukwama kwa sababu yameingiliwa...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Tuwalaumu UKAWA au CCM?
NI takriban mwezi mmoja umesalia kabla ya Bunge Maalumu la Katiba kuanza vikao vyake mkoani Dodoma. Uhai wa Bunge hilo upo mikononi mwa wajumbe na viongozi wa Umoja wa Katiba...
9 years ago
Mtanzania26 Oct
CCM yailaumu Ukawa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimelalamikia kitendo cha Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, kusema watatangaza matokeo yao na kuwaamuru vijana wao waingie barabarani kushangilia.
Chama hicho kilisema kauli hizo zinazotolewa na viongozi hao wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni za hatari kwa amani na usalama wa nchi na ujenzi wa demokrasia na inashangazwa ni kwanini...