Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yailaumu Ukawa

January-MakambaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimelalamikia kitendo cha Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, kusema watatangaza matokeo yao na kuwaamuru vijana wao waingie barabarani kushangilia.

 

Chama hicho kilisema kauli hizo zinazotolewa na viongozi hao wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni za hatari kwa amani na usalama wa nchi na ujenzi wa demokrasia na inashangazwa ni kwanini...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Serbia yailaumu Hungary kuhusu wakimbizi

Serbia na Umoja wa mataifa wameilaumu Hungary kwa kitendo cha kupiga mabomu ya machozi

 

10 years ago

BBCSwahili

Utalii:TZ yailaumu Kenya kuhusu marufuku

Serikali ya Tanzania inatarajiwa kuingilia kati kuhusiana na marafuku iliowekewa magari ya Utalii ya taifa hilo yanayoelekea Kenya

 

11 years ago

BBCSwahili

DRC yailaumu Rwanda kuwalinda M23

Serikali ya DR Congo imeilaumu Rwanda kwa kuwalinda wapiganaji wa M23.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yailaumu Tanzania kwa hali ilivyo DRC

Umoja wa mataifa imezituhumu serikali za Tanzania na Burundi kuhusiana na hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuwalaumu UKAWA au CCM?

NI takriban mwezi mmoja umesalia kabla ya Bunge Maalumu la Katiba kuanza vikao vyake mkoani Dodoma. Uhai wa Bunge hilo upo mikononi mwa wajumbe na viongozi wa Umoja wa Katiba...

 

9 years ago

TheCitizen

CCM desperate : Ukawa

The coalition of opposition parties (Ukawa) said yesterday the use of inflammatory statements by CCM leaders when addressing campaign rallies amounted to the party’s desperation ahead of the October polls.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa gumzo

Mazungumzo kuhusu siasa na hasa Uchaguzi Mkuu, idadi ya watu waliojitokeza kujiandikisha kupiga kura na idadi kubwa ya watu wanaojitokeza kwenye mikutano ya hadhara ya wanasiasa ndiyo hali iliyoenea kila kona ya nchi kwa sasa, kitu ambacho wachambuzi waliohojiwa na gazeti hili wamekielezea kuwa ni kuongezeka kwa mwamko wa wananchi katika masuala ya siasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA, CCM wakwama

MAZUNGUMZO yanayoendelea kuhusu jinsi ya kunasua mchakato wa katiba mpya kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), yanaelekea kukwama kwa sababu yameingiliwa...

 

11 years ago

Habarileo

CCM waivimbia Ukawa

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape NnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushawishi viongozi wa Serikali au viongozi wa kitaifa, wawalazimishe au wawabembeleze wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurudi bungeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani