Mjamzito afa ajali ya bodaboda
Mjamzito, Mwajuma Lyanga (20), Mkazi wa Kijiji cha Mtekente, Kata ya Ndago Wilaya ya Iramba mkoani hapa, amekutwa amekufa chini ya daraja kwa ajali ya pikipiki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Dereva wa bodaboda afa ajalini
DEREVA wa pikipiki, maarufi kama bodaboda, Abdul Mikidadi (33), mkazi wa Kunduchi, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kumgonga mbwa na kupoteza uelekeo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvsbTZqUya9*YuJFJYGlXQ128CBnlzQ772y7a375drR8CAeohWj*iyhtjp0OCLyDz0W0ujRT*WgqyE726Tv1EPAq/BACKUWAZI.jpg?width=650)
BODABODA AFA KWA KUCHINJWA, NDUGU WAZIKA MGOMBA
10 years ago
GPLKIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA
11 years ago
Habarileo21 Jul
Ajali za bodaboda zawa tishio
KASI ya ajali za pikipiki imemtisha Rais Jakaya Kikwete na ameeleza wasiwasi kwamba ikiendelea hivyo, utafika wakati idadi ya watu watakaokufa itakuwa kubwa kuliko wanaopoteza maisha kutokana na Ukimwi.
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Zantel kupunguza ajali za bodaboda
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imetoa msaada wa vikoti maalumu (reflective safety jackets) 1800 kwa waendesha bodaboda mkoani Mwanza, ili kusaidia kupunguza ajali za barabarani. Vikoti hivyo vyenye...
11 years ago
Habarileo16 Feb
Ajali za bodaboda zaua wawili
WATU wawili wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha bodaboda na gari zilizotokea jana jijini Dar es Salaam.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RLxyN9SjlB8/Xoa3gQgQKrI/AAAAAAAAnOY/fKdcvJRORu4lD5Aps-6iXoYjOkMNURupgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
DEREVA BODABODA APATA AJALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-RLxyN9SjlB8/Xoa3gQgQKrI/AAAAAAAAnOY/fKdcvJRORu4lD5Aps-6iXoYjOkMNURupgCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-naJVCxuab54/Xoa3ftM60BI/AAAAAAAAnOU/NBoE4oNwlq82KW6ay6z1rZPPshpkXF3yQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-nbYnF2CtgtY/XrZJiDtxhrI/AAAAAAAAncA/4SAvBDFd_wggHNRbIjoLQXogSVJeva3XwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200509_083331_7.jpg)
DEREVA WA BODABODA APATA AJALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-nbYnF2CtgtY/XrZJiDtxhrI/AAAAAAAAncA/4SAvBDFd_wggHNRbIjoLQXogSVJeva3XwCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200509_083331_7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lT-BdFHeCjk/XrZJsv9xEvI/AAAAAAAAncE/4kNOL-irsqQyLIlSnGWPo8fTjxtnjI-fQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200509_083332_2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RDIqqb9DluM/Vaft6zhlQQI/AAAAAAAAWJM/uxti6ggIpkU/s72-c/IMG-20150716-WA0065.jpg)
AFISA WA PCCB AFA KATIKA AJALI, ALIKUWA ANAWAHI KUTANGAZA NIA YA KUWANIA UBUNGE HUKO NJOMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-RDIqqb9DluM/Vaft6zhlQQI/AAAAAAAAWJM/uxti6ggIpkU/s640/IMG-20150716-WA0065.jpg)
Watu wawili wamejeruhjiwa kwenye ajali hiyo iliyotokea eneo la Tanangozi, baada ya gari dogo aina ya Nissan Patrol, mali ya AfriCarriers, kugongana uso kwa uso na Lori aina ya Scania.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Pudenciana Protas alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa...