Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjamzito afa ajali ya bodaboda

Mjamzito, Mwajuma Lyanga (20), Mkazi wa Kijiji cha Mtekente, Kata ya Ndago Wilaya ya Iramba mkoani hapa, amekutwa amekufa chini ya daraja kwa ajali ya pikipiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dereva wa bodaboda afa ajalini

DEREVA wa pikipiki, maarufi kama bodaboda, Abdul Mikidadi (33), mkazi wa Kunduchi, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kumgonga mbwa na kupoteza uelekeo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...

 

10 years ago

GPL

BODABODA AFA KWA KUCHINJWA, NDUGU WAZIKA MGOMBA

Na Haruni Sanchawa
TUKIO la aina yake! Dereva wa bodaboda aliyejulikana kwa jina la Alex Wilson amekutwa ameuawa kwa kuchinjwa na kuporwa pikipiki lakini cha ajabu, siku ya mazishi yake kaburini kukazikwa mgomba baada ya mwili kuzuiwa usizikwe, Uwazi limechimba kisa kamili. Marehemu Alex Wilson enzi za uhai wake. Ilikuwa Aprili 8, mwaka huu katika maeneo ya Mbezi Beach karibu na Kiwanda cha Rafia, Alex ambaye ni mwenyeji wa...

 

10 years ago

GPL

KIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA

Mwendesha bodaboda akiendelea kuteketea kwa moto baada ya kuchomwa na wananchi wenye hasira katika eneo la Mlimani City jijini Dar es Salaam,  juzi jioni ambapo alidaiwa kumpora mkoba dada mmoja na kujaribu…

 

11 years ago

Habarileo

Ajali za bodaboda zawa tishio

KASI ya ajali za pikipiki imemtisha Rais Jakaya Kikwete na ameeleza wasiwasi kwamba ikiendelea hivyo, utafika wakati idadi ya watu watakaokufa itakuwa kubwa kuliko wanaopoteza maisha kutokana na Ukimwi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zantel kupunguza ajali za bodaboda

KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imetoa msaada wa vikoti maalumu (reflective safety jackets) 1800 kwa waendesha bodaboda mkoani Mwanza, ili kusaidia kupunguza ajali za barabarani. Vikoti hivyo vyenye...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali za bodaboda zaua wawili

WATU wawili wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha bodaboda na gari zilizotokea jana jijini Dar es Salaam.

 

5 years ago

CCM Blog

DEREVA BODABODA APATA AJALI

 Askari wa Usalama Barabarani akipima ajali iliyotokea Barabara ya Kilwa eneo la Mivinjeni Dar es Salaam jana iliyohisishwa na Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS kumgonga mwendesha Pikipiki yenye namba za Usajili  MC 919 CKY akitokea upande wa JKT na Dereva wa Gari hilo akijaribu kukatiza marabara eneo hilo la ajali kwa mujibu wa mashuhuda eneo la tukio. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Wasamaria wema wakijaribu kumbeba na kumuingiza katika Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS Dereva...

 

5 years ago

CCM Blog

DEREVA WA BODABODA APATA AJALI

 Wananchi eneo la Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam wakimwangalia Dereva wa Bodaboda aliyepata ajali ambapo chanzo Cha ajali hakikiweza kupatikana mara moja. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)

 

10 years ago

Vijimambo

AFISA WA PCCB AFA KATIKA AJALI, ALIKUWA ANAWAHI KUTANGAZA NIA YA KUWANIA UBUNGE HUKO NJOMBE

AFISA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, PCCB, Conrad Mtenga (53) maarufu kama Chillangamsafa amefariki katika ajali kwenye barabara kuu ya Mbeya-Iringa.
Watu wawili wamejeruhjiwa kwenye ajali hiyo iliyotokea eneo la Tanangozi, baada ya gari dogo aina ya Nissan Patrol, mali ya AfriCarriers, kugongana uso kwa uso na Lori aina ya Scania.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Pudenciana Protas alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani