AFISA WA PCCB AFA KATIKA AJALI, ALIKUWA ANAWAHI KUTANGAZA NIA YA KUWANIA UBUNGE HUKO NJOMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-RDIqqb9DluM/Vaft6zhlQQI/AAAAAAAAWJM/uxti6ggIpkU/s72-c/IMG-20150716-WA0065.jpg)
AFISA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, PCCB, Conrad Mtenga (53) maarufu kama Chillangamsafa amefariki katika ajali kwenye barabara kuu ya Mbeya-Iringa.
Watu wawili wamejeruhjiwa kwenye ajali hiyo iliyotokea eneo la Tanangozi, baada ya gari dogo aina ya Nissan Patrol, mali ya AfriCarriers, kugongana uso kwa uso na Lori aina ya Scania.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Pudenciana Protas alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Jun
Muhongo kutangaza nia kuwania urais leo
WAKATI makada watano wakiwa wamejitokeza kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama tawala, CCM, leo ni zamu ya Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospter Muhongo.
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Membe: Watanzania subirini kwa hamu siku yangu ya kutangaza nia ya kuwania Urais
Na theNkoromo Blog
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewaomba Watanzania kusubiri kwa hamu siku ya kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Membe amesema, amepanga kutangaza nia hiyo, Juni 6, mwaka huu, na kuwaomba wananchi wamsikilize kwa makini siku hiyo kwakuwa ataeleza kwa kina nini anataka kufanya nchi iweze kuondoka ilipo ikiwemo kuendelea kudumisha amani na utulivu uliopo.
Waziri Membe ambaye...
10 years ago
Vijimambo29 May
MWIGULU NCHEMBA KUTANGAZA NIA JUMAPILI HII YA KUWANIA URAIS,TANZANIA ITASIMAMA KWA MASAA 3 PALE DODOMA
![](http://api.ning.com/files/LWw0InctTwlR6kkyGUlVXhaUcgbpKMmsY7Tf9fXMdGz37vCWox1iPrxWH*LF*kK9BFeXrCpArhXyx3Iiye0mfeuQhFx3uEsG/315407_114564585412445_342326531_n.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaiZwd2EYaj44FMs8NQKQI*txvVtqf0KCR1OsqIG250v*YUXwsmgkgX8rWiFFTUw4gEVGvwo5d0A*63ZXq*F0xhO/wemanamamayake.jpg)
WEMA SEPETU ATANGAZA NIA, KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mgana Izumbe Msindai, atangaza nia kuwania ubunge jimbo la Mkalama
Mwenyekiti CCM mkoa wa Singida, Mgana Izumbe Msindai, akitangaza ni ya kugombea ubunge jimbo la Mkalama mkoa wa Singida kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kata ya Ibaga.
Sheikh wa mskiti wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama, Seleman Tumai, akitoa kero ya uhaba mkubwa wa maji safi unaosababisha wachangie maji na mifugo na wanayapori kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya Mgana Msindai kutangaza nia ya kugombea ubunge Mkalama.
Mkazi wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Tv8LQ2-9Ims/Vayk2eCD50I/AAAAAAAHqnM/URCRvMq0TRc/s72-c/1.%2BAkitangaza%2Bnia%2Bkuwania%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BKilombero.jpg)
KADA WA CCM ASSENGA ATANGAZA NIA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KILOMBERO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tv8LQ2-9Ims/Vayk2eCD50I/AAAAAAAHqnM/URCRvMq0TRc/s640/1.%2BAkitangaza%2Bnia%2Bkuwania%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BKilombero.jpg)
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA
Na: Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnGRr9YI2e8/VXBqcB6QRXI/AAAAAAABOnc/YggpuAxJHuE/s72-c/0.1ngeleja%2Batangaza%2Bnia.jpg)
HOTUBA YA NGELEJA KATIKA KUTANGAZA NIA YA URAIS WA TANZANIA YAJIBU MASWALI MENGI YA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnGRr9YI2e8/VXBqcB6QRXI/AAAAAAABOnc/YggpuAxJHuE/s640/0.1ngeleja%2Batangaza%2Bnia.jpg)
Ameongeza utaratibu uliofanyika kumuondoa ni utaratibu wa kawaida na kuwa unaweza kutumika hata bila ya kuwa na udhaifu katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vmSCjfwaT_Y/VVBNx6yV-8I/AAAAAAAHWlo/eegjN9HMDcg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B9.34.04%2BAM.png)
WATU KUMI NA TANO WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA MAGARI MATATU KATIKA BARABARA YA NJOMBE/MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmSCjfwaT_Y/VVBNx6yV-8I/AAAAAAAHWlo/eegjN9HMDcg/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-11%2Bat%2B9.34.04%2BAM.png)
AJALI HIYO IMETOKEA MNAMO TAREHE 10.05.2015 MAJIRA YA SAA 20:10...