Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali za bodaboda zaua wawili

WATU wawili wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha bodaboda na gari zilizotokea jana jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ajali za bodaboda zaua watu 1,098

WAENDESHA pikipiki ‘bodaboda’ 870 na abiria 228 wamekufa kutokana na ajali za barabarani zilizohusisha usafiri huo katika kipindi cha mwaka jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali za bodaboda zaua watu 870

Waendesha pikipiki 870 wamepoteza maisha na wengine 5,237 wamejeruhiwa katika matukio tofauti ya ajali za barabarani zilizotokea mwaka jana.

 

11 years ago

Michuzi

WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA SABA WAMEJERUHIWWA KATIKA AJALI YA BASI NA BODABODA MKOANI LINDI LEO

Watu wawili wamefariki dunia leo baada ya bodaboda yenye usajili namba T 293 ARM kugongwa na basi la abiria la kampuni ya Maning Nice lenye usajili namba T624 CQD ambalo nalo lilipinduka baada ya ajali hiyo katika kijiji cha Ngongo mkoani Lindi  na abiria saba walijeruhiwa. Majina ya marehemu na ya majeruhi hayakuweza kupatikana mara moja. Picha na Abdulaziz Video.

 

10 years ago

Mwananchi

Bodaboda zaua watu 220 siku 90

Wakati wimbi la ajali likiendelea kutikisa nchi, watu 220 wamefariki dunia kwa ajali za bodaboda nchini kuanzia Januari hadi Machi mwaka huu, Kamanda wa Usalama barabarani, Mohamed Mpinga amesema.

 

9 years ago

Mtanzania

Kampeni za Magufuli zaua wawili

*Ni baada ya kukanyagwa wakiwa uwanjani

*Rais Kikwete awalilia,atuma salamu za pole

 

Ramadhan Libenanga Moro na Bakari Kimwanga, Handeni

MKUTANO wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli juzi uliingia dosari, baada ya watu wawili kufariki dunia na wengine 17 kujeruhiwa.

Tukio hilo la aina yake, lilitokea juzi jioni mkoani Morogoro wakati Dk. Magufuli alipohutubia maelfu ya wananchi wa mkoa huo katika Uwanja wa Jamhuri.

Vifo hivyo ni kutokana na...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua 19

Wakazi wa Pandambili, wilayani Kongwa mkoani Dodoma wakiangalia mabaki ya basi la Kampuni ya Morobest lenye namba za usajili T258 AHV baada ya ajali jana. (Picha na Sifa Lubasi).JUMLA ya watu 19 wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizotokea mkoa wa Dodoma na Arusha jana.

 

10 years ago

Mtanzania

Ajali za mabasi zaua 10

AMINA OMARI NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
WATU 10 wamefariki dunia papo hapo na wengine 35 wamejeruhiwa baada ya mabasi mawili ya abiria na gari dogo kugongana.
Kati ya majeruhi hao, saba hali zao ni mbaya na walikimbizwa Hospitali ya Wilaya ya Handeni kutoka Kituo cha Afya Mkata walikokuwa wakitibiwa.
Ajali hiyo ilitokea jana mchana katika Kijiji cha Mbweni kilichopo Mkata, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma...

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ajali zaua watu 103


NA WILLIAM SHECHAMBO
WATU 103 wamefariki na 138 kujeruhiwa kwenye ajali tisa za barabarani zilizotokea hivi karibuni katika maeneo mbalimbali nchini.
Sababu kuu iliyoelezwa kusababisha ajali hizo ni uzembe wa madereva na abiria.

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohammed Mpinga, aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana na kutoa tahadhari kwa abiria kutimiza wajibu wao ikiwa pamoja na kutowatetea madereva wazembe.
Alisema kikosi hicho kimeshitushwa na ajali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani