Kampeni za Magufuli zaua wawili
*Ni baada ya kukanyagwa wakiwa uwanjani
*Rais Kikwete awalilia,atuma salamu za pole
Ramadhan Libenanga Moro na Bakari Kimwanga, Handeni
MKUTANO wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli juzi uliingia dosari, baada ya watu wawili kufariki dunia na wengine 17 kujeruhiwa.
Tukio hilo la aina yake, lilitokea juzi jioni mkoani Morogoro wakati Dk. Magufuli alipohutubia maelfu ya wananchi wa mkoa huo katika Uwanja wa Jamhuri.
Vifo hivyo ni kutokana na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Feb
Ajali za bodaboda zaua wawili
WATU wawili wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha bodaboda na gari zilizotokea jana jijini Dar es Salaam.
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Watu wawili wafa kwenye mkanyagano mkutano wa Magufuli Moro
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W2TdQlDC6zg/XqAFTfuoiGI/AAAAAAALnyQ/3WQBP2mvoCsEoaECxxzE10gU7Tsv7ak2QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Rais Magufuli ateua Makatibu Wakuu wawili na Mganga Mkuu wa Serikali
![](https://1.bp.blogspot.com/-W2TdQlDC6zg/XqAFTfuoiGI/AAAAAAALnyQ/3WQBP2mvoCsEoaECxxzE10gU7Tsv7ak2QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2I2Gz6X0DmE/XqACF-fjJqI/AAAAAAALnyE/QnjV3sm0nE8zJGjZUkNUsWyB8BcuBwSOgCLcBGAsYHQ/s1600/222a436f-57ed-4be5-9f20-5513d3882a5f.jpg)
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Siku 10 kampeni za Dk Magufuli
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Magufuli apigiwa kampeni na Mrema
![](http://1.bp.blogspot.com/-8PnYCHivd3c/VhafhrHHBGI/AAAAAAAAppQ/UfSmw8naoGg/s640/1.jpg)
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Ndugu Augustino Lyatonga Mrema mara baada ya kukutana njia panda ya Himo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ylKvjmmhrCE/Vhafk7e5uBI/AAAAAAAAppY/yqmElZ0KKRY/s640/3.jpg)
Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Ndugu Augustino Lyatonga Mrema akizungumza mbele ya mgombea wa urais kupitia CCM na kuwataka wananchi wa Vunjo kumpigia kura mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwani ni rafiki wa kweli kwa maendeleo ya...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Staili za Dk Magufuli, Lowassa zakoleza kampeni