Siku 10 kampeni za Dk Magufuli
Siku 10 tangu mgombea wa urais kupitia chama tawala (CCM), Dk John Magufuli alipozindua kampeni zake jijini Dar es Salaam zilizoambatana na ahadi mbalimbali kwa lengo la kuleta mabadiliko ya kasi na kuijenga Tanzania mpya, zilikamilika juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5w1-REdHCYw/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-akimpa-pole-Padre-Dk-Kitima-na-familia-yake-kwa-kifo-cha-mdogo-wake-kilichotokea-hivi-karibuni.jpg)
MAGUFULI APIGA KAMPENI SINGIDA, DODOMA MPAKA MANYARA KWA SIKU MOJA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xG55oK06wP4/ViZvbwaIcBI/AAAAAAADBN4/zjv9cS6vnXE/s72-c/_MG_7954.jpg)
ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU TANO,MAGUFULI AENDELEA KUITIKISA KANDA YA ZIWA,AFANYA MIKUTANNO YA KAMPENI GEITA VIJIJINI,NYANG'WALE NA SENGEREMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xG55oK06wP4/ViZvbwaIcBI/AAAAAAADBN4/zjv9cS6vnXE/s640/_MG_7954.jpg)
Mgombea Urais kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi wa Sengerema jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini humo.Katika mkutano huo wa kampeni Dkt Magufuli amezishauri halmashauri nchini kuacha tabia ya kukopa pesa kutoka katika taasisis za kifedha na kulipia fidia za wananchi ambao serikali inataka kutumia maeneo yao kwa ajili ya huduma za kijamii.
Akiomba kura katika wilaya mpya ya Nyang'wale mkoani Geita,Dkt Magufuli ametumia jukwaa...
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-I/4NDLGYREfv0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
BREAKING NYUZZZZ....: RAIS MAGUFULI ATANGAZA SIKU YA UHURU KUWA SIKU YA KUFANYA KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-I/4NDLGYREfv0/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Kwamba maadhimisho ya Uhuru ya mwaka huu (2015) yatatumika kama kichocheo cha kujenga tabia ya kufanya kazi...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Siku 52 za kampeni vifo 11
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
TANGU kampeni za Uchaguzi Mkuu zianze Agosti 22 mwaka huu, hadi kufikia jana jumla ya wagombea 11 wamefariki dunia.
Vifo hivyo vimewakumba wagombea mbalimbali wa nafasi za ubunge na udiwani kutoka vyama vya CCM, muungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) pamoja na Chama cha ACT- Wazalendo.
Mfululizo wa matukio ya vifo vya wagombea wa nafasi hizo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ni dhahiri umeitikisa jamii kwa kiasi kikubwa.
Dadisi...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Siku 10 kampeni za Lowassa Ukawa
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo