Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali zaua 19

Wakazi wa Pandambili, wilayani Kongwa mkoani Dodoma wakiangalia mabaki ya basi la Kampuni ya Morobest lenye namba za usajili T258 AHV baada ya ajali jana. (Picha na Sifa Lubasi).JUMLA ya watu 19 wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizotokea mkoa wa Dodoma na Arusha jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ajali za mabasi zaua 10

AMINA OMARI NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
WATU 10 wamefariki dunia papo hapo na wengine 35 wamejeruhiwa baada ya mabasi mawili ya abiria na gari dogo kugongana.
Kati ya majeruhi hao, saba hali zao ni mbaya na walikimbizwa Hospitali ya Wilaya ya Handeni kutoka Kituo cha Afya Mkata walikokuwa wakitibiwa.
Ajali hiyo ilitokea jana mchana katika Kijiji cha Mbweni kilichopo Mkata, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ajali zaua watu 103


NA WILLIAM SHECHAMBO
WATU 103 wamefariki na 138 kujeruhiwa kwenye ajali tisa za barabarani zilizotokea hivi karibuni katika maeneo mbalimbali nchini.
Sababu kuu iliyoelezwa kusababisha ajali hizo ni uzembe wa madereva na abiria.

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohammed Mpinga, aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana na kutoa tahadhari kwa abiria kutimiza wajibu wao ikiwa pamoja na kutowatetea madereva wazembe.
Alisema kikosi hicho kimeshitushwa na ajali...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali mbili zaua watu 47

AJALI za barabarani zimeendelea kugharimu uhai wa Watanzania, baada ya jana watu 44 kufa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Mara na Rukwa. Kati yao, 36 wamekufa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili katika eneo la Sabasaba, wilayani Butiama katika mkoa wa Mara wakati wengine wanane wamekufa katika ajali ya lori aina ya Mitsubishi Fuso.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu saba

WATU saba wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali za barabarani na majini wilayani Bunda Mkoa wa Mara.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za kemikali zaua watu 14

WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umesema mwaka jana kumetokea matukio ya ajali za kemikali 11 zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 14 na uharibifu wa tani zaidi ya 250 za kemikali.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za pikipiki zaua 5,100

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Perreira Ame SilimaJUMLA ya ajali 32,404 za pikipiki maarufu kama bodaboda zimetokea kati ya mwaka 2007 – 2014 na kusababisha vifo vya watu 5,100, Bunge limeelezwa.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali za bodaboda zaua wawili

WATU wawili wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha bodaboda na gari zilizotokea jana jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali zaua 8 Tabora, Morogoro

Kamanda wa Polisi Tabora, Suzan KagandaWATU wanane wamekufa papo hapo, huku wengine 50 wakijeruhiwa vibaya katika ajali mbili tofauti zilizotokea Tabora na Morogoro jana.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu 26 Singida, Lindi

WATU 26 wamekufa na wengine 26 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea jana, Singida na Lindi. Ajali ya kwanza iliyoua watu 13 papo hapo na mmoja kujeruhiwa, ilitokea jana asubuhi, baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Noah walilokuwa wakisafiria, kugongana uso kwa uso na lori la mizigo eneo la Isuna, barabara kuu ya Singida-Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani