Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali zaua watu 26 Singida, Lindi

WATU 26 wamekufa na wengine 26 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea jana, Singida na Lindi. Ajali ya kwanza iliyoua watu 13 papo hapo na mmoja kujeruhiwa, ilitokea jana asubuhi, baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Noah walilokuwa wakisafiria, kugongana uso kwa uso na lori la mizigo eneo la Isuna, barabara kuu ya Singida-Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ajali zaua watatu Tanga, Singida

Watu watatu wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti kwenye mikoa ya Tanga na Singida.

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali za magari zaua Tanga, Singida

 Watu watano wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizotokea Mikoa ya Singida na Tanga.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ajali zaua watu 103


NA WILLIAM SHECHAMBO
WATU 103 wamefariki na 138 kujeruhiwa kwenye ajali tisa za barabarani zilizotokea hivi karibuni katika maeneo mbalimbali nchini.
Sababu kuu iliyoelezwa kusababisha ajali hizo ni uzembe wa madereva na abiria.

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohammed Mpinga, aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana na kutoa tahadhari kwa abiria kutimiza wajibu wao ikiwa pamoja na kutowatetea madereva wazembe.
Alisema kikosi hicho kimeshitushwa na ajali...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali mbili zaua watu 47

AJALI za barabarani zimeendelea kugharimu uhai wa Watanzania, baada ya jana watu 44 kufa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Mara na Rukwa. Kati yao, 36 wamekufa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili katika eneo la Sabasaba, wilayani Butiama katika mkoa wa Mara wakati wengine wanane wamekufa katika ajali ya lori aina ya Mitsubishi Fuso.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za kemikali zaua watu 14

WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umesema mwaka jana kumetokea matukio ya ajali za kemikali 11 zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 14 na uharibifu wa tani zaidi ya 250 za kemikali.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu saba

WATU saba wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali za barabarani na majini wilayani Bunda Mkoa wa Mara.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali za bodaboda zaua watu 1,098

WAENDESHA pikipiki ‘bodaboda’ 870 na abiria 228 wamekufa kutokana na ajali za barabarani zilizohusisha usafiri huo katika kipindi cha mwaka jana.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu wanne Dar

WATU wanne wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini Dar es Salaam ya ajali za barabarani, ikiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza aliyetambuliwa kwa jina la Ally Hamadi (13) kufa baada ya kugongwa na gari akivuka barabara.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu 4 Dar es Salaam

WATU wanne wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini Dar es Salaam, kutokana na ajali za barabarani, ikiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Ally Hamadi (13) kugongwa na gari akivuka barabara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani