Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali za magari zaua Tanga, Singida

 Watu watano wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizotokea Mikoa ya Singida na Tanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ajali zaua watatu Tanga, Singida

Watu watatu wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti kwenye mikoa ya Tanga na Singida.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu 26 Singida, Lindi

WATU 26 wamekufa na wengine 26 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea jana, Singida na Lindi. Ajali ya kwanza iliyoua watu 13 papo hapo na mmoja kujeruhiwa, ilitokea jana asubuhi, baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Noah walilokuwa wakisafiria, kugongana uso kwa uso na lori la mizigo eneo la Isuna, barabara kuu ya Singida-Dodoma.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua 19

Wakazi wa Pandambili, wilayani Kongwa mkoani Dodoma wakiangalia mabaki ya basi la Kampuni ya Morobest lenye namba za usajili T258 AHV baada ya ajali jana. (Picha na Sifa Lubasi).JUMLA ya watu 19 wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizotokea mkoa wa Dodoma na Arusha jana.

 

10 years ago

Mtanzania

Ajali za mabasi zaua 10

AMINA OMARI NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
WATU 10 wamefariki dunia papo hapo na wengine 35 wamejeruhiwa baada ya mabasi mawili ya abiria na gari dogo kugongana.
Kati ya majeruhi hao, saba hali zao ni mbaya na walikimbizwa Hospitali ya Wilaya ya Handeni kutoka Kituo cha Afya Mkata walikokuwa wakitibiwa.
Ajali hiyo ilitokea jana mchana katika Kijiji cha Mbweni kilichopo Mkata, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali mbili zaua watu 47

AJALI za barabarani zimeendelea kugharimu uhai wa Watanzania, baada ya jana watu 44 kufa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Mara na Rukwa. Kati yao, 36 wamekufa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili katika eneo la Sabasaba, wilayani Butiama katika mkoa wa Mara wakati wengine wanane wamekufa katika ajali ya lori aina ya Mitsubishi Fuso.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali zaua 8 Tabora, Morogoro

Kamanda wa Polisi Tabora, Suzan KagandaWATU wanane wamekufa papo hapo, huku wengine 50 wakijeruhiwa vibaya katika ajali mbili tofauti zilizotokea Tabora na Morogoro jana.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu saba

WATU saba wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali za barabarani na majini wilayani Bunda Mkoa wa Mara.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za kemikali zaua watu 14

WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umesema mwaka jana kumetokea matukio ya ajali za kemikali 11 zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 14 na uharibifu wa tani zaidi ya 250 za kemikali.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za pikipiki zaua 5,100

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Perreira Ame SilimaJUMLA ya ajali 32,404 za pikipiki maarufu kama bodaboda zimetokea kati ya mwaka 2007 – 2014 na kusababisha vifo vya watu 5,100, Bunge limeelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani