Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodaboda zaua watu 220 siku 90

Wakati wimbi la ajali likiendelea kutikisa nchi, watu 220 wamefariki dunia kwa ajali za bodaboda nchini kuanzia Januari hadi Machi mwaka huu, Kamanda wa Usalama barabarani, Mohamed Mpinga amesema.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ajali za bodaboda zaua watu 870

Waendesha pikipiki 870 wamepoteza maisha na wengine 5,237 wamejeruhiwa katika matukio tofauti ya ajali za barabarani zilizotokea mwaka jana.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali za bodaboda zaua watu 1,098

WAENDESHA pikipiki ‘bodaboda’ 870 na abiria 228 wamekufa kutokana na ajali za barabarani zilizohusisha usafiri huo katika kipindi cha mwaka jana.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali za bodaboda zaua wawili

WATU wawili wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha bodaboda na gari zilizotokea jana jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

GPL

ZAIDI YA WATU 220 WAFARIKI KWA KUKANYAGANA, MAKKA-SAUDI ARABIA

Waokoaji wakiwa katika harakati za kuokoa majeruhi wa tukio hilo. Shughuli za uokoaji zikiendelea. Umati wa waumini wa dini ya Kiislam waliokwenda kuhiji Makka, Saudi…

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za kemikali zaua watu 14

WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umesema mwaka jana kumetokea matukio ya ajali za kemikali 11 zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 14 na uharibifu wa tani zaidi ya 250 za kemikali.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu saba

WATU saba wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali za barabarani na majini wilayani Bunda Mkoa wa Mara.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali mbili zaua watu 47

AJALI za barabarani zimeendelea kugharimu uhai wa Watanzania, baada ya jana watu 44 kufa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Mara na Rukwa. Kati yao, 36 wamekufa katika ajali iliyohusisha mabasi mawili katika eneo la Sabasaba, wilayani Butiama katika mkoa wa Mara wakati wengine wanane wamekufa katika ajali ya lori aina ya Mitsubishi Fuso.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ajali zaua watu 103


NA WILLIAM SHECHAMBO
WATU 103 wamefariki na 138 kujeruhiwa kwenye ajali tisa za barabarani zilizotokea hivi karibuni katika maeneo mbalimbali nchini.
Sababu kuu iliyoelezwa kusababisha ajali hizo ni uzembe wa madereva na abiria.

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohammed Mpinga, aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana na kutoa tahadhari kwa abiria kutimiza wajibu wao ikiwa pamoja na kutowatetea madereva wazembe.
Alisema kikosi hicho kimeshitushwa na ajali...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu 4 Dar es Salaam

WATU wanne wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini Dar es Salaam, kutokana na ajali za barabarani, ikiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Ally Hamadi (13) kugongwa na gari akivuka barabara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani