MKE MATUNZO, NI SAWA NA MGOMBA KUPALILIWA!
![](http://api.ning.com:80/files/qSAS7eZtx6AOwdeYoxEi44SNZwmpT-vuMIW3XW9dY0HiJJyZ48Oy34UkvdQTu0oSblbWD-d5Rru7X1JN64Hn*4ssrI4XFhAk/Happycouplebed008.jpg?width=650)
Assalaam alaikum/Bwana Yesu asifiwe! Bila shaka mna afya njema wasomaji wangu. Kikubwa mjue naendelea kuwapenda, kuwathamini na kuwaheshimu kwani mmekuwa mkionesha kukubali kile ambacho nakiandika kupitia safu hii. Baada ya kuwavalia njuga wanawake kwa muda mrefu, leo niwageukie wanaume hasa ikifahamika kwamba, hakuna aliyekamilika isipokuwa Mwenyezi Mungu tu. Ndiyo maana leo nimeamua kuwasema wanaume kwa sababu nao ni miongoni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLFILIKUNJOMBE AKINYWA MAJI KWA MAJANI YA MGOMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvsbTZqUya9*YuJFJYGlXQ128CBnlzQ772y7a375drR8CAeohWj*iyhtjp0OCLyDz0W0ujRT*WgqyE726Tv1EPAq/BACKUWAZI.jpg?width=650)
BODABODA AFA KWA KUCHINJWA, NDUGU WAZIKA MGOMBA
10 years ago
StarTV02 Dec
Uzalishaji aina mpya ya Mgomba, wakulima wapewa darasa.
Na Ramadhani Mvungi, Arusha.
Kituo cha utafiti na mafunzo ya kilimo cha mazao ya Mboga, Matunda na Maua cha Tengeru Arusha kikishirikiana na taasisi za TAHA na TAPP kimeanza kutoa mafunzo kwa wakulima kuhusu uzalishaji wa aina mpya ya zao la mgomba kupitia mashamba darasa.
Hatua hiyo ni mpango mahususi wa kuongeza uzalishaji wa mazao ya mbogamboga, matunda na maua katika kuendeleza dhana ya kilimo biashara nchini.
Ikiwa chini ya Wizara ya Kilimo chakula na Ushirika kituo cha...
10 years ago
Bongo527 Dec
Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Faiza:Sugu Amedanganya Bunge Matunzo
Mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi, Faiza Ally jana amesema 'Sugu' alidanganya Bunge alipodai hutoa sh.500,000 kila mwezi za matunzo ya mtoto.
Na ingawa Sugu alidai bungeni pia kuwa hulipa ada ya sh. milioni tatu kwa mwaka kwa ajili ya elimu ya mtoto huyo, Faiza amedai ni kwa nusu ya pili tu ya kipindi cha miaka miwili ambayo amekuwa akisoma.
Aidha, mwanamitindo Faiza amesema hayupo tayari kumaliza kifamilia mvutano wa malezi ya mtoto na 'Sugu', kama Mbunge huyo...
10 years ago
Habarileo01 May
Mahakama yamkamua mbunge matunzo ya mtoto
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru Mbunge wa Jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM) kutoa Sh 200,000 kila mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto wake wa kiume, mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, anayedaiwa kumtelekeza.
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Matunzo na maslahi ya watoto kwa mujibu wa sheria
KIHISTORIA, Tanzania ilikuwa ni nchi ya kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki kufanya utafiti juu ya hali ya haki na ustawi wa mtoto mnamo mwaka 1988. Hii ilikuwa ni mwaka...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Matunzo na maslahi ya watoto kwa mujibu wa sheria II
WIKI iliyopita tuliishia sehemu inayoeleza mahakama itatumia vigezo gani katika kuthibisha kuwa ni mzazi wa mtoto husika. Sasa endelea… JAMBO la kwanza kama kuna ndoa yoyote ilifanyika kulingana na Sheria...