Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matunzo na maslahi ya watoto kwa mujibu wa sheria II

WIKI iliyopita tuliishia sehemu inayoeleza mahakama itatumia vigezo gani katika kuthibisha kuwa ni mzazi wa mtoto husika. Sasa endelea…    JAMBO la kwanza  kama kuna ndoa yoyote ilifanyika kulingana na Sheria...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Matunzo na maslahi ya watoto kwa mujibu wa sheria

KIHISTORIA, Tanzania ilikuwa ni nchi ya kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki kufanya utafiti juu ya hali ya haki na ustawi wa mtoto mnamo mwaka 1988. Hii ilikuwa ni mwaka...

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KWA MUJIBU WA SHERIA NDOA HIZI HAZIRUHUSIWI

Na  Bashir  Yakub
Hapa  kwetu  Tanzania  tunazo  ndoa za  aina  kuu  mbili. Kwanza  tunazo  ndoa  za  kiraia au  kiserikali, na  pili  tunazo  ndoa  za  kimila. 
Ndoa  za  kiraia  au  za  kiserikali   kama  zinavyojulikana kwa  wengi  ni  zile  ambazo  hufungwa chini  ya  usimamizi  wa  mamlaka  za serikali  kama  ofisi  ya  mkuu  wa  wilaya n.k.  Na  kwa upande  wa  ndoa za kimila    hizi  ni  zile  ambazo  hufungwa  kutokana  na  taratibu  za  watu  wa  kabila  au  koo  fulani  kwa  mujibu...

 

9 years ago

Mwananchi

Siasa za vyama ziendeshwe kwa mujibu wa sheria

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekaririwa na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii akisema kwamba wanasiasa walioshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, hawaruhusiwi kuitisha mikutano ya hadhara kwa ajili ya kuwashukuru wananchi kwa kuwa wanaweza kuvuruga shughuli za maendeleo.

 

10 years ago

Habarileo

Makutupora JKT yaivisha 1, 555 kwa mujibu wa sheria

VIJANA wanaohitimu mafunzo ya awali ya kijeshi wametakiwa kutorubuniwa na makundi yanayotaka kuwagawa Watanzania.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: SHERIA HAILAZIMISHI KUTOA MATUNZO YA MTOTO KULIKO UWEZO WAKO.

Na   Bashir  Yakub.

Suala  la matunzo  ya  watoto/mtoto  lim ekuwa  ni suala  ambalo  wasomaji  wengi  wamekuwa  wakiniuliza sana. Wengi  wao  wanaouliza  ni  wale  ambao  wamezaa  nje  ya  ndoa  na  hivyo  kuna  utata  wa  matunzo  ya  watoto  na  wale  ambao  wamekuwa wana ndoa  lakini  sasa  tayari  wametengana  aidha  kwa  talaka  au  bila  talaka.  Niseme  tu kwa  ufupi  kuwa  suala  la  matunzo  ya watoto  linajumuisha  mambo  mengi  nami  nitaeleza  baadhi  tu.


1.HUWEZI  KUMLAZIMISHA ...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE

Na  Bashir  Yakub.Suala   la  matunzo  haliishi  tu kwa  mtoto/ watoto.  Wengi  wa  wanaume wamekuwa  wakipendelea  kuwajibika  kwa  kutoa  matunzo  ya  watoto  na  kumuacha  mwanamke.  Jambo  hili  si  sawa  na  halikubaliki  kisheria. Ni  vema  kufahamu    kuwa  suala  la matunzo  kwa  mwanamke  limegawanyika   mara  nne.  Kwanza   kuna  matunzo  kipindi  ambacho  ni  cha  ndoa  ambapo  hakuna  mgogoro  wowote  baina  ya  wanandoa. Pili  kuna  matunzo  kwa  mwanamke  kipindi  ambacho...

 

11 years ago

Habarileo

Wasihi kuingizwa vipengele vyenye maslahi kwa wanawake,watoto

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuwatendea haki vijana, wanawake na watoto kwa kuingiza vipengele ambavyo vina maslahi katika kuboresha maisha yao.

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDDI AMEMUAGIZA MKURUGENZI WA ‘ZAWA’ KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA NA KUWACHUKULIA HATUA ZA NIDHAMU KWA MUJIBU WA SHERIA WATENDAJI WA MAMLAKA HIYO.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.Mmiliki wa Kiwanja cha nyumba ya Ghorofa Mlandege Bwana Anuari Abdullah akijitetea kupata kibali kinachomruhusu kuendeleza ujenzi wa nyumba yake.
 Baadhi ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakitafakari na kufurahia maamuzi yaliyochukuliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...

 

10 years ago

Vijimambo

SHERIA HAILAZIMISHI KUTOA MATUNZO YA MTOTO KULIKO UWEZO WAKO.

Na Bashir Yakub.

Suala la matunzo ya watoto/mtoto lim ekuwa ni suala ambalo wasomaji wengi wamekuwa wakiniuliza sana. Wengi wao wanaouliza ni wale ambao wamezaa nje ya ndoa na hivyo kuna utata wa matunzo ya watoto na wale ambao wamekuwa wana ndoa lakini sasa tayari wametengana aidha kwa talaka au bila talaka. Niseme tu kwa ufupi kuwa suala la matunzo ya watoto linajumuisha mambo mengi nami nitaeleza baadhi tu. 1.

HUWEZI KUMLAZIMISHA MTOA MATUNZO KUTOA AMBACHO HANA. Kumekuwepo na tabia ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani