Wasihi kuingizwa vipengele vyenye maslahi kwa wanawake,watoto
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuwatendea haki vijana, wanawake na watoto kwa kuingiza vipengele ambavyo vina maslahi katika kuboresha maisha yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s72-c/unnamedq.jpg)
TMF yalipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika Katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki
![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s1600/unnamedq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1QnHdZP0ORA/VDPyk49W4_I/AAAAAAAGohE/Qxdq1YztkaA/s1600/unnamedq2.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Sep
Chama chasisitiza maslahi kwa walemavu wanawake
CHAMA cha Furaha ya Wanawake Wajasiriamali kwa Viziwi Tanzania (Fuwavita) kimeomba Halmashauri kuweka mahitaji na maslahi ya walemavu wanawake viziwi katika bajeti zao wapate haki zao za msingi.
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Matunzo na maslahi ya watoto kwa mujibu wa sheria II
WIKI iliyopita tuliishia sehemu inayoeleza mahakama itatumia vigezo gani katika kuthibisha kuwa ni mzazi wa mtoto husika. Sasa endelea… JAMBO la kwanza kama kuna ndoa yoyote ilifanyika kulingana na Sheria...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Jitihada za AU kuinua maslahi ya wanawake
10 years ago
MichuziVYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWEKA VIPENGELE VYA WATOTO KWENYE ILANI ZAO.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
VYAMA vya Siasa nchini katika kuelekea Uchaguzi Mkuu vimetakiwa katika ilani zao, kuweka vipengele vya watoto kutokana na kuwepo kwa sheria kandamizi dhidi ya mtoto.
Hayo wameyasema watoto wakati wa mkutano uliondaliwa na Shirika la Save the Children kupitia Ajenda ya Mtoto inayoshirikisha mashirika 30 yanayojighulisha na masuala ya watoto kwa kuwakutanisha viongozi wa vyama vya siasa na watoto ,katika kujadili nafasi ya mtoto katika ilani zao kuelekea...
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto
Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....
10 years ago
Habarileo18 Oct
Ajiondoa Chadema kwa siasa za kidikteta, kuingizwa udini
ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mtera, Lameck Lubote ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema amechoka na siasa zilizojaa udikteta wa viongozi wake.
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Wapinga ukatili kwa wanawake, watoto
TAMASHA la kupinga ukatili wa kijinsia lililopewa jina la ‘siku ya rangi ya chungwa’ limenyika jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Wanawake walipwa kwa kunyonyesha watoto