Ajiondoa Chadema kwa siasa za kidikteta, kuingizwa udini
ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mtera, Lameck Lubote ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema amechoka na siasa zilizojaa udikteta wa viongozi wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LYLs-*pet39FOi*ga1cWxKbTE*zECDuEeG70bUHpYQBUXODFnHeGiKyO-mHO-TmRzt9f64gdhPYZXY35gZqyXlO/NapeNnauye.jpg)
CCM YALAANI UDINI WA LOWASSA NA CHADEMA.
11 years ago
Habarileo08 Apr
Wasihi kuingizwa vipengele vyenye maslahi kwa wanawake,watoto
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuwatendea haki vijana, wanawake na watoto kwa kuingiza vipengele ambavyo vina maslahi katika kuboresha maisha yao.
10 years ago
GPLAMINI AJIONDOA THT, AAGWA KWA NDEREMO
9 years ago
Mwananchi09 Sep
NEC yatoa onyo kwa Lowassa kuhusu udini
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wanasiasa watahadharishwa juu ya kuwagawa watanzania kwa udini na ukabila
Mgombea mteule wa ubunge jimbo la Manyoni magharibi(CCM), Bwana Ally Masare akielezea umuhimu wa kusoma katiba iliyopo kwa sasa kwa vijana wa kambi ya UVCCM wilaya ya Manyoni kwenye shule ya sekondari Mkwese.
Mgombea mteule wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Ally Masare amewatahadharisha baadhi ya wanasiasa walioomba kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao,kujiepusha na kauli za kuwagawa makundi watanzania kwenye maeneo yao kwa kuhubiri ukabila na...
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Sitaendesha nchi kidikteta-Magufuli
NA BAKARI KIMWANGA, CHATO
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama atachaguliwa kuwa rais wa
awamu ya tano, hataendesha nchi kidikteta kama baadhi ya watu wanavyodai.
Amesema atazingatia sheria za nchi lakini hatakuwa na simile kwa watu watakaoleta mchezo kusimamia rasilimali za
nchi.
Dk.Magufuli alitoa kauli hiyomjini Chato jana alipohutubia maelfu ya wananchi wa wilaya hiyo. Alisema ili nchi iweze kusonga mbele inahitaji mtu ambaye hajui kesho ila...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Sasa Tanzania kuongozwa kidikteta au kijeshi?
MWEZI Agosti mwaka 1990, akiwa anastaafu uenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwalimu Julius N
Andrew Bomani
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Mwenyekiti wa zamani CHADEMA hataki siasa
Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa zamani wa CHADEMA Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, Joseph Yona ambaye alijiuzulu wadhifa huo baada ya kutekwa na kushambuliwa na watu wasiojulikana mwaka jana kisha kutupwa katika ufukwe wa Ununio, ameibuka na kudai hatajihusisha na siasa tena maishani mwake.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, jijini Dar es Salaam, Yona alisema kuwa tangu alipokumbwa na tukio hilo aliamua kubwaga manyanga ya kujihusisha na masuala ya saisa ambayo aliita ni mchezo...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
SIASA: Chadema: Hatuchukui tena makapi ya CCM