Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitaendesha nchi kidikteta-Magufuli

Magufuli ChatoNA BAKARI KIMWANGA, CHATO

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama atachaguliwa kuwa rais wa
awamu ya tano, hataendesha nchi kidikteta kama baadhi ya watu wanavyodai.

Amesema atazingatia sheria za nchi lakini hatakuwa na simile kwa watu watakaoleta mchezo kusimamia rasilimali za
nchi.

Dk.Magufuli alitoa kauli hiyomjini Chato jana alipohutubia maelfu ya wananchi wa wilaya hiyo. Alisema ili nchi iweze kusonga mbele inahitaji mtu ambaye hajui kesho ila...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Sasa Tanzania kuongozwa kidikteta au kijeshi?

MWEZI Agosti mwaka 1990, akiwa anastaafu uenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwalimu Julius N

Andrew Bomani

 

10 years ago

Habarileo

Ajiondoa Chadema kwa siasa za kidikteta, kuingizwa udini

ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mtera, Lameck Lubote ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema amechoka na siasa zilizojaa udikteta wa viongozi wake.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nchi inahitaji mabadiliko

pombeNa Bakari Kimwanga, Mbeya

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema taifa linahitaji mabadiliko ya kiuongozi chini yake na siyo kwa kubadili chama kilichopo madarakani.

Amesema pamoja na kuwa kuna wimbi la watu wanaotaka mabadiliko, ni vema wakatambua kwamba yatapatikana kupitia CCM na si nje ya chama hicho.

Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mbalizi, Mbeya Vijijini na Wilaya ya Chunya mkoani hapa kwa nyakati...

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Magufuli: Nchi inahitaji rais mkali

g11*Atangaza kiama kwa aliyefungua kesi   kupinga mradi wa maji

*Arusha kombora kwa Kingunge

*Apokewa na CCM, Chadema Ubungo

 

Na Bakari Kimwanga, Dar es Salaam

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema nchi inahitaji rais mkali ili mambo yaende huku akishangazwa na mmoja wa vigogo kufungua kesi kupinga mradi wa maji.

Amesema watu wa aina hiyo watakiona na anamuomba Mungu kwa siki tatu zilizobaki apewe urais kwa vile hao ndiyo ataanza kushughulika nao.

 

Kauli hiyo...

 

9 years ago

Mwananchi

Nape: Nchi ilifika pagumu, tumuombee Magufuli

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amesema Watanzania wanapaswa kumuombea Rais John Magufuli ili aendelee kutumbua majipu kwani nchi ilifika pagumu baada ya wezi kuonekana wajanja.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitaboresha uhusiano wa kibiashara na nchi jirani

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema serikali yake itashirikiana na nchi jirani ili kuhakikisha wananchi wa mikoa ya mipakani wanapata fursa za kibiashara katika nchi hizo.

 

5 years ago

Michuzi

MAGUFULI ALICHELEWA KUWA RAIS WA NCHI- MASAUDA

Na Mwandishi wetu, BabatiALIYEKUWA mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa wa Mjini Babati Mkoani Manyara, Cosmas Bura Masauda amesema Rais John Magufuli alichelewa kuwa Rais wa Tanzania kwani amerudisha nchi kwenye misingi iliyoachwa na Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere. 
Masauda akizungumza jana mjini Babati alisema Rais Magufuli ameirudisha Tanzania katika misingi bora hasa CCM kwani hata usipokuwa na fedha unaweza kugombea uongozi. 
Alisema kutokana na Rais Magufuli kuirudisha...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitahakikisha nchi haifanywi shamba la bibi

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk  John Magufuli amesema iwapo atachaguliwa kuingia Ikulu, atahakikisha nchi inapata mgao halali kutokana na uwekezaji kwenye rasilimali zilizopo.

 

10 years ago

Michuzi

ACHENI RUSHWA TUISAIDIE NCHI IPATE MAENDELEO -DK.MAGUFULI.

   Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Magufuli  akizungumza katika ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi wa wizara Ujenzi katika Hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam leo.Mhandisi Mussa Lyombe akizungumza leo jijini Dar es Salaam,katika ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi wa Wizara ya ujenzi. Baraza la wafanyakazi wa wizara ya ujenzi waliohudhuria katika  ufunguzi wa baraza hizo leo jijini Dar es Salaam.Picha ya pamoja ya waziri wa Ujenzi  pamoja na  Baraza la wafanyakazi wa wizara ya ujenzi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani