Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sasa Tanzania kuongozwa kidikteta au kijeshi?

MWEZI Agosti mwaka 1990, akiwa anastaafu uenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwalimu Julius N

Andrew Bomani

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA CHINA WAFANYA MAZOEZI YA KIJESHI PAMOJA

Wanajeshi wa Tanzania wakifanya mazoeziMkuu wa operesheni na utendaji kivita wa JWTZ, Meja Jenerali James Mwakibolwa, (Wapili kulia), akitazama silaha ya kivita, wakati wa maonyesho ya zana za kijeshi na uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya wanamaji kutoka China na Tanzania yaliyopewa jina la "Surpassing 2014" kwenye kamandi kuu ya wanamaji wa JWTZ, Kigamboni jijini Dar es Salaam leo.Picha kwa hisani ya Father Kidevu

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Uchaguzi mkuu — wazanzibari kuchagua kutawaliwa au kuongozwa

Na mwandishi wetu, Kipindi kingine kimefika cha miaka mitano kwa Wazanzibari kuamua kwa kupiga kura kuendelea kutawaliwa au kuongozwa. Chambilecho Msomi wa Ujarumani “ Demokrasia katika kuchagua Utumwa baada ya uchaguzi” Hivi ndivo Ilivyo. Kwani kuhamasishwa […]

The post Uchaguzi mkuu – wazanzibari kuchagua kutawaliwa au kuongozwa appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mtanzania

Sitaendesha nchi kidikteta-Magufuli

Magufuli ChatoNA BAKARI KIMWANGA, CHATO

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama atachaguliwa kuwa rais wa
awamu ya tano, hataendesha nchi kidikteta kama baadhi ya watu wanavyodai.

Amesema atazingatia sheria za nchi lakini hatakuwa na simile kwa watu watakaoleta mchezo kusimamia rasilimali za
nchi.

Dk.Magufuli alitoa kauli hiyomjini Chato jana alipohutubia maelfu ya wananchi wa wilaya hiyo. Alisema ili nchi iweze kusonga mbele inahitaji mtu ambaye hajui kesho ila...

 

10 years ago

Habarileo

Ajiondoa Chadema kwa siasa za kidikteta, kuingizwa udini

ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mtera, Lameck Lubote ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema amechoka na siasa zilizojaa udikteta wa viongozi wake.

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga yajifua kijeshi


Wachezaji wa Yanga mazoezini 
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa chini ya makocha wao, Hans Pluijm na Charles Boniface Mkwasa kilifanya mazoezi hayo makali yaliyolenga kuimarisha nguvu kwa wachezaji hao.YANGA kweli imepania msimu ujao. Kwani baada ya kupiga tizi kwenye Uwanja wa Karume, Ilala kikosi cha timu hiyo kimehamia ufukweni kufanya mazoezi fulani ya nguvu kama wanajeshi.
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine yajizatiti kijeshi

Ukraine imeagiza kuimarisha vikosi vyake katika kukabiliana na Urusi katika jimbo la Ukraine la Crimea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa kijeshi Marekani wadukuliwa

Jeshi la Marekani lilisimamisha kwa muda mtandao wake baada ya kisa cha kuingiliwa kimitandao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusigeuze nchi gwaride la kijeshi

KATIKA siku za nyuma Watanzania wengi, Bara na Visiwani, walionekana kupumua pale Serikali ambayo ilikuwa ikipenda kutumia amri, badala ya sheria ilipoonekana kuwa na uvumiivu kwa watu kujieleza na kutoa maoni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yaanzisha mazoezi ya Kijeshi

Urusi imeanza mazoezi makali ya kivita yanayojumuisha kikosi cha anga cha wanajeshi 150

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani