Urusi yaanzisha mazoezi ya Kijeshi
Urusi imeanza mazoezi makali ya kivita yanayojumuisha kikosi cha anga cha wanajeshi 150
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--w07h4MO6R4/VEZ6MHZYKhI/AAAAAAAAYP8/SazUv1ImucI/s72-c/DSC_0648.jpg)
TANZANIA NA CHINA WAFANYA MAZOEZI YA KIJESHI PAMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/--w07h4MO6R4/VEZ6MHZYKhI/AAAAAAAAYP8/SazUv1ImucI/s1600/DSC_0648.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DiXxkClC9DY/VEZ6NizZKcI/AAAAAAAAYQE/x1_zevobP-A/s1600/DSC_0706.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TW_byvEd_dw/VEZ6OAMHhGI/AAAAAAAAYQI/yFknH0S0cKk/s1600/DSC_0725.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0cTe4plFVMA/VEZ6QVa56hI/AAAAAAAAYQU/XSVwYwPBLw8/s1600/James%2BMwakibolwa5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-77p_dVxuJXM/VEZ6QukbBGI/AAAAAAAAYQY/Nb4Wjk6GVeo/s1600/James%2BMwakibplwa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aKKljYOmt-4/VEZ6RELSDmI/AAAAAAAAYQg/j9K0wT5IY2o/s1600/DSC_0576.jpg)
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Urusi yatetea hatua ya kijeshi Ukraine
Urusi imeliambia Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa kwamba hatua yake ya kijeshi nchini Ukraine ni kulinda raia.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
NATO yaishutumu Urusi kutishia kijeshi
Umoja wa Kujihami wa Nchi za Magharibi umeishutumu Urusi kwa vitisho vya kijeshi kwa kuimarisha silaha zake za nyuklia
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Ukraine yajizatiti kijeshi
Ukraine imeagiza kuimarisha vikosi vyake katika kukabiliana na Urusi katika jimbo la Ukraine la Crimea.
10 years ago
Vijimambo15 Jun
Yanga yajifua kijeshi
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2752546/highRes/1036731/-/maxw/600/-/14uhjj3z/-/01-Yanga.jpg)
Wachezaji wa Yanga mazoezini
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa chini ya makocha wao, Hans Pluijm na Charles Boniface Mkwasa kilifanya mazoezi hayo makali yaliyolenga kuimarisha nguvu kwa wachezaji hao.YANGA kweli imepania msimu ujao. Kwani baada ya kupiga tizi kwenye Uwanja wa Karume, Ilala kikosi cha timu hiyo kimehamia ufukweni kufanya mazoezi fulani ya nguvu kama wanajeshi.
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Tusigeuze nchi gwaride la kijeshi
KATIKA siku za nyuma Watanzania wengi, Bara na Visiwani, walionekana kupumua pale Serikali ambayo ilikuwa ikipenda kutumia amri, badala ya sheria ilipoonekana kuwa na uvumiivu kwa watu kujieleza na kutoa maoni...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Pakistani kuunda mahakama za kijeshi
Bunge nchini Pakistani limepitisha maamuzi kuunda mahakama za kijesshi
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Mtandao wa kijeshi Marekani wadukuliwa
Jeshi la Marekani lilisimamisha kwa muda mtandao wake baada ya kisa cha kuingiliwa kimitandao.
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Ndege ya kijeshi ya Ukraine yadunguliwa
Waziri wa Ulinzi nchini Ukraine amesema kuwa mojawapo ya ndege zake za kijeshi za kubeba mizigo imedunguliwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania