Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi yaanzisha mazoezi ya Kijeshi

Urusi imeanza mazoezi makali ya kivita yanayojumuisha kikosi cha anga cha wanajeshi 150

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA CHINA WAFANYA MAZOEZI YA KIJESHI PAMOJA

Wanajeshi wa Tanzania wakifanya mazoeziMkuu wa operesheni na utendaji kivita wa JWTZ, Meja Jenerali James Mwakibolwa, (Wapili kulia), akitazama silaha ya kivita, wakati wa maonyesho ya zana za kijeshi na uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya wanamaji kutoka China na Tanzania yaliyopewa jina la "Surpassing 2014" kwenye kamandi kuu ya wanamaji wa JWTZ, Kigamboni jijini Dar es Salaam leo.Picha kwa hisani ya Father Kidevu

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yatetea hatua ya kijeshi Ukraine

Urusi imeliambia Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa kwamba hatua yake ya kijeshi nchini Ukraine ni kulinda raia.

 

10 years ago

BBCSwahili

NATO yaishutumu Urusi kutishia kijeshi

Umoja wa Kujihami wa Nchi za Magharibi umeishutumu Urusi kwa vitisho vya kijeshi kwa kuimarisha silaha zake za nyuklia

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine yajizatiti kijeshi

Ukraine imeagiza kuimarisha vikosi vyake katika kukabiliana na Urusi katika jimbo la Ukraine la Crimea.

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga yajifua kijeshi


Wachezaji wa Yanga mazoezini 
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa chini ya makocha wao, Hans Pluijm na Charles Boniface Mkwasa kilifanya mazoezi hayo makali yaliyolenga kuimarisha nguvu kwa wachezaji hao.YANGA kweli imepania msimu ujao. Kwani baada ya kupiga tizi kwenye Uwanja wa Karume, Ilala kikosi cha timu hiyo kimehamia ufukweni kufanya mazoezi fulani ya nguvu kama wanajeshi.
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusigeuze nchi gwaride la kijeshi

KATIKA siku za nyuma Watanzania wengi, Bara na Visiwani, walionekana kupumua pale Serikali ambayo ilikuwa ikipenda kutumia amri, badala ya sheria ilipoonekana kuwa na uvumiivu kwa watu kujieleza na kutoa maoni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistani kuunda mahakama za kijeshi

Bunge nchini Pakistani limepitisha maamuzi kuunda mahakama za kijesshi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa kijeshi Marekani wadukuliwa

Jeshi la Marekani lilisimamisha kwa muda mtandao wake baada ya kisa cha kuingiliwa kimitandao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya kijeshi ya Ukraine yadunguliwa

Waziri wa Ulinzi nchini Ukraine amesema kuwa mojawapo ya ndege zake za kijeshi za kubeba mizigo imedunguliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani