Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATO yaishutumu Urusi kutishia kijeshi

Umoja wa Kujihami wa Nchi za Magharibi umeishutumu Urusi kwa vitisho vya kijeshi kwa kuimarisha silaha zake za nyuklia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishutumu Urusi

Marekani imeishutumu Urusi kuwa ilivunja makubaliano ya mwaka 1987 kwa kufanya majaribio ya makombora ya nyukilia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikao cha Nato chatuhumu Urusi

Viongozi wa nchi za Magharibi wameishutumu Urusi kwa "ushawishi" wake katika mgogoro wa Ukraine, mwanzoni mwa mkutano wa Nato

 

9 years ago

BBCSwahili

Nato yasikitishwa Urusi kuisaidia Syria

Nato imesikitishwa kuhusu taarifa kuwa Urusi ina mpango kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Syria.wa kuhusu taarifa kuwa Urusi ina mpango kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mawaziri wa Nato wakutana kujadili Urusi

Mawaziri wa ulinzi wa mataifa ya Nato wanakutana leo kujadili mashambulio yanayotekelezwa na Urusi nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

NATO yaonyesha picha za askari wa Urusi

Nato yaonyesha picha za majeshi ya Urusi ndani ya Ukraine ili kuwasaidia waasi

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi yaanzisha mazoezi ya Kijeshi

Urusi imeanza mazoezi makali ya kivita yanayojumuisha kikosi cha anga cha wanajeshi 150

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yatetea hatua ya kijeshi Ukraine

Urusi imeliambia Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa kwamba hatua yake ya kijeshi nchini Ukraine ni kulinda raia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAHLISO yaishutumu serikali kuhusu elimu

JUMUIYA ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), imeitupia shutuma serikali kwa madai imekuwa ikitengeneza kizazi chenye elimu dhaifu. Shutuma hizo zilitolewa jijini Mwanza juzi na Mwenyekiti...

 

10 years ago

Bongo5

Korea Kaskazini yaishutumu US kusambaza Ebola na kutumia Afrika kama sehemu ya kujaribia silaha hiyo ya Kibailojia

Koreas Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kusambaza makusudi virusi vya ugonjwa wa Ebola na kwamba inatengeneza silaha hiyo ya kibailojia ili kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani. Taifa hilo limelazimika kufunga mipaka yake kuzuia watalii ikiwa ni pamoja na kumtenga kila anayeingia. Ripoti ya Korean Central News Agency (KCNA) inadai kuwa aliyekuwa msaidizi wa Rais wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani