Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri wa Nato wakutana kujadili Urusi

Mawaziri wa ulinzi wa mataifa ya Nato wanakutana leo kujadili mashambulio yanayotekelezwa na Urusi nchini Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAWAZIRI WA AFYA SADC WAKUTANA DAR KUJADILI UGONJWA WA CORONA


Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
MAWAZIRI wa sekta ya afya kutoka nchi 16 za Jumuiya ya Nchi za Maendeleo ya Kusini mwa Afrika( SADC) wamekutana jijini Dar es Salaam huku ajenda kuu kwa siku ya leo Machi 9 mwaka 2020 ikiwa ni kujadili mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona duniani.
Ugonjwa huo ambao uligundulika mwaka jana nchini China katika Jiji la Wuhan lililopo Jimbo la Hubei na kupewa jina la COVID-19, hadi kufikia jana umeshaua zaidi ya watu 3,800 duniani huku 100,008 wakiwa...

 

5 years ago

CCM Blog

MAWAZIRI SEKTA YA AFYA NCHINI ZA SADC WAKUTANA KWA DHARURA TANZANI KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA

  Na. Paschal Dotto-MAELEZOJumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), imesema imejiandaa kikamilifu kukabiliana na ugonjwa wa homa ya Virusi vya Corona (Covid-19) ambao umezidi kusambaa duniani na kwamba mikakati madhubuti imeweka tayari kwa kutoa elimu ya kutosha jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo kwa wananchi wa ukanda huo wa Afrika.
Akizungumza katika Mkutano wa dharura uliofanyika Jijini Dar es Salaam, ambao uliitishwa kujadili hali ya mlipuko wa ugonjwa huo uliohudhuriwa na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nato yasikitishwa Urusi kuisaidia Syria

Nato imesikitishwa kuhusu taarifa kuwa Urusi ina mpango kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Syria.wa kuhusu taarifa kuwa Urusi ina mpango kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

NATO yaonyesha picha za askari wa Urusi

Nato yaonyesha picha za majeshi ya Urusi ndani ya Ukraine ili kuwasaidia waasi

 

10 years ago

BBCSwahili

NATO yaishutumu Urusi kutishia kijeshi

Umoja wa Kujihami wa Nchi za Magharibi umeishutumu Urusi kwa vitisho vya kijeshi kwa kuimarisha silaha zake za nyuklia

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikao cha Nato chatuhumu Urusi

Viongozi wa nchi za Magharibi wameishutumu Urusi kwa "ushawishi" wake katika mgogoro wa Ukraine, mwanzoni mwa mkutano wa Nato

 

11 years ago

BBCSwahili

G7 wakutana Brussels bila Urusi

Viongozi wa G7 wanaokutana mjini Brussels wamesema kuwa wako tayari kuiwekea Urusi vikwazo zaidi isipokomesha vita Ukrain.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakutana kujadili ujenzi wa Gaza

Wawakilishi wa zaidi ya nchi 50 wanakutana mjini Cairo hii leo kwa mkutano kuhusu kulijenga upya eneo la Gaza

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cheza Kidansi wakutana kujadili muziki wa dansi

WADAU wa muziki wa dansi wanaotokea katika mkusanyiko unaojulikana kama Cheza Kidansi, juzi walifanya kikao cha kwanza na kuazimia mpango wao kuwawezesha wanamuziki wa muziki huo na kuwakwamua kiuchumi. Kikao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani