Mawaziri wa Nato wakutana kujadili Urusi
Mawaziri wa ulinzi wa mataifa ya Nato wanakutana leo kujadili mashambulio yanayotekelezwa na Urusi nchini Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
MAWAZIRI WA AFYA SADC WAKUTANA DAR KUJADILI UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s1600/index.png)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
MAWAZIRI wa sekta ya afya kutoka nchi 16 za Jumuiya ya Nchi za Maendeleo ya Kusini mwa Afrika( SADC) wamekutana jijini Dar es Salaam huku ajenda kuu kwa siku ya leo Machi 9 mwaka 2020 ikiwa ni kujadili mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona duniani.
Ugonjwa huo ambao uligundulika mwaka jana nchini China katika Jiji la Wuhan lililopo Jimbo la Hubei na kupewa jina la COVID-19, hadi kufikia jana umeshaua zaidi ya watu 3,800 duniani huku 100,008 wakiwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAWAZIRI SEKTA YA AFYA NCHINI ZA SADC WAKUTANA KWA DHARURA TANZANI KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K_eL1uKQggE/XmcrdCunXEI/AAAAAAAC0lA/aA_mkZ3vWpQivR2Zd2aH6wspschfb5LTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza katika Mkutano wa dharura uliofanyika Jijini Dar es Salaam, ambao uliitishwa kujadili hali ya mlipuko wa ugonjwa huo uliohudhuriwa na...
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Nato yasikitishwa Urusi kuisaidia Syria
Nato imesikitishwa kuhusu taarifa kuwa Urusi ina mpango kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Syria.wa kuhusu taarifa kuwa Urusi ina mpango kuongeza uwepo wake wa kijeshi nchini Syria.
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
NATO yaonyesha picha za askari wa Urusi
Nato yaonyesha picha za majeshi ya Urusi ndani ya Ukraine ili kuwasaidia waasi
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
NATO yaishutumu Urusi kutishia kijeshi
Umoja wa Kujihami wa Nchi za Magharibi umeishutumu Urusi kwa vitisho vya kijeshi kwa kuimarisha silaha zake za nyuklia
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Kikao cha Nato chatuhumu Urusi
Viongozi wa nchi za Magharibi wameishutumu Urusi kwa "ushawishi" wake katika mgogoro wa Ukraine, mwanzoni mwa mkutano wa Nato
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
G7 wakutana Brussels bila Urusi
Viongozi wa G7 wanaokutana mjini Brussels wamesema kuwa wako tayari kuiwekea Urusi vikwazo zaidi isipokomesha vita Ukrain.
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Wakutana kujadili ujenzi wa Gaza
Wawakilishi wa zaidi ya nchi 50 wanakutana mjini Cairo hii leo kwa mkutano kuhusu kulijenga upya eneo la Gaza
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Cheza Kidansi wakutana kujadili muziki wa dansi
WADAU wa muziki wa dansi wanaotokea katika mkusanyiko unaojulikana kama Cheza Kidansi, juzi walifanya kikao cha kwanza na kuazimia mpango wao kuwawezesha wanamuziki wa muziki huo na kuwakwamua kiuchumi. Kikao...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania