Wakutana kujadili ujenzi wa Gaza
Wawakilishi wa zaidi ya nchi 50 wanakutana mjini Cairo hii leo kwa mkutano kuhusu kulijenga upya eneo la Gaza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mawaziri wa Nato wakutana kujadili Urusi
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Cheza Kidansi wakutana kujadili muziki wa dansi
WADAU wa muziki wa dansi wanaotokea katika mkusanyiko unaojulikana kama Cheza Kidansi, juzi walifanya kikao cha kwanza na kuazimia mpango wao kuwawezesha wanamuziki wa muziki huo na kuwakwamua kiuchumi. Kikao...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-daHPZ3PhZU4/VaUmR0OYOVI/AAAAAAAC8iA/T57lcJ6fZyw/s72-c/DSC_0998.jpg)
WADAU WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA OFISI YA CAG
![](http://3.bp.blogspot.com/-daHPZ3PhZU4/VaUmR0OYOVI/AAAAAAAC8iA/T57lcJ6fZyw/s640/DSC_0998.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iLMIa5XtLeg/VaUnNc43FqI/AAAAAAAC8iM/UfLajgD_Nn4/s640/DSC_0002.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Wakutana kujadili mkakati wa mradi wa kijiji cha digitali
Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akiwasilisha mada ya mchanganuo wa ufumbi wa changamoto mbalimbali katika utekelezaji wa mradi wa kijiji cha kidigitali.
Na Mwandishi wetu, Bagamoyo
WADAU mbalimbali wa elimu, afya, Tehama na masuala ya utamaduni na uchumi ambao wamo katika mradi wa kijiji cha dijiti cha Ololosokwan kilichopo wilayani Monduli Arusha wanakutana kwa warsha ya wiki moja ikiwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/DSC_0005.jpg)
WADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA MABADILIKO YA TABIANCHI
9 years ago
StarTV22 Oct
Uongozi mkoa wa Shinyanga, wadau wakutana kujadili suala la amani.
Uongozi wa mkoa wa Shinyanga umekutana na wadau mbalimbali pamoja na kamati ya ulinzi na usalama mkoa kujadili ushirikiano wa kudumisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika jumapili hii Oktoba 25.
Ajenda kuu ya kikao hiki ni ulinzi na usalama katika kipindi cha uchaguzi mkuu hususani ulinzi wa mtoto.
Kamati ya ulinzi na usalama chini ya mkuu wa mkoa kwa kushirikiana na shirika la kutetea haki za watoto la Save the children imeandaa kikao maalum kwa lengo la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
MAWAZIRI WA AFYA SADC WAKUTANA DAR KUJADILI UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s1600/index.png)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
MAWAZIRI wa sekta ya afya kutoka nchi 16 za Jumuiya ya Nchi za Maendeleo ya Kusini mwa Afrika( SADC) wamekutana jijini Dar es Salaam huku ajenda kuu kwa siku ya leo Machi 9 mwaka 2020 ikiwa ni kujadili mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona duniani.
Ugonjwa huo ambao uligundulika mwaka jana nchini China katika Jiji la Wuhan lililopo Jimbo la Hubei na kupewa jina la COVID-19, hadi kufikia jana umeshaua zaidi ya watu 3,800 duniani huku 100,008 wakiwa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_01131.jpg)
WAKUTANA KUJADILI MKAKATI WA MRADI WA KIJIJI CHA DIGITALI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OTy09JC_XMI/VFDpSW1SzsI/AAAAAAAGuE8/eP1dVxC5XSM/s72-c/UntitledO1.png)
Viongozi Watendaji wa Serikali wakutana kujadili mifumo ya ufuatiliaji na tathmini
“Napenda kuishukuru sana Taasisi ya Uongozi, na Mtendaji wake Mkuu, Prof. Joseph Semboja, kwa mchango wao mkubwa...