TANZANIA NA CHINA WAFANYA MAZOEZI YA KIJESHI PAMOJA

Wanajeshi wa Tanzania wakifanya mazoezi
Mkuu wa operesheni na utendaji kivita wa JWTZ, Meja Jenerali James Mwakibolwa, (Wapili kulia), akitazama silaha ya kivita, wakati wa maonyesho ya zana za kijeshi na uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya wanamaji kutoka China na Tanzania yaliyopewa jina la "Surpassing 2014" kwenye kamandi kuu ya wanamaji wa JWTZ, Kigamboni jijini Dar es Salaam leo.
Picha kwa hisani ya Father Kidevu
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi23 Oct
Uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya wanamaji kutoka China na Tanzania yaliyopewa jina la "Surpassing 2014" kwenye kamandi kuu ya wanamaji wa JWTZ, Kigamboni





11 years ago
MichuziWIZARA YA MABO YA NJE NA UBALOZI WA CHINA WAFANYA MKUTANO WA PAMOJA NA WAANDISHI WA HABARI
10 years ago
Dewji Blog08 May
Bodi yaTaasisi ya UTT-PID ya Wizara ya Fedha pamoja na Menejimenti yake wafanya Ziara ya Mafunzo nchini China
Bodi ya UTT-PID ikiongozwa na mwenyekiti wake Mrs. E Mlaki pamoja na Menejimenti wakiwa na wenyeji wao katika jiji la Chengdu ambapo walifanya ziara katika maeneo tofauti ya uwekezaji na manufaa wanayopata wananchi wa jiji hilo. Ziara hiyo ya siku Tano katika Miji tofauti inatarajia kukamilika Tarehe kumi kabla ya kurejea nyumbani.
Na Mwandishi Maalum
Bodi ya Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyo chini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID), pamoja na Menejimenti yake ipo nchini China...
10 years ago
BBCSwahili26 May
Urusi yaanzisha mazoezi ya Kijeshi
11 years ago
GPL
STAND UNITED WATUA BUKOBA, WAFANYA MAZOEZI
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
China yaonyesha uwezo wake wa kijeshi kwa gwaride la nguvu
5 years ago
Michuzi
LISHE BORA PAMOJA NA MAZOEZI VINAVYOWEZA KUIMARISHA KINGA YA MWILI

Nimeona ni vizuri kuandika ujumbe huu mfupi kutokana na sintofahamu ya watu wengi katika jamii yetu kuhusiana na baadhi ya vyakula kutibu ugonjwa wa COVID-19 .
Kutokana na janga hili watu wengi wamejikuta wakila kundi moja la vyakula kwa madai ya kuuwa virusi vya Corona. Kuna baadhi ambao wanaamini wakitumia juice za limao na tangawizi zitawasaidia kupona ugonjwa...
10 years ago
Michuzi28 Mar
MALAWI WAFANYA MAZOEZI CCM KIRUMBA LEO, TAYARI KUKUTANA NA TAIFA STARS KESHO JUMAPILI
Wakibadilishana Mawazo wakati Wachezaji wa Malawi wanajifua mara ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jioni ya leo.
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa...
10 years ago
MichuziVIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA MKOANI DODOMA VYAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA
Na DORICE Kigombe wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa kushirikiana na Idara mbalimbali za Serikali na wadau wa Amani Raia ,wamefanya matembezi/Routmatch ya pamoja kuzunguka mitaa mbalimbali ya mji wa Dodoma .Matembezi yaliongozwa na Mkuu wa Mkoa Dodoma Capt. Mstaafu CHIKU GALAWA.
Washiriki wa zoezi hilo ni Jeshi la Polisi, Jeshi la Wananchi (JWTZ), Jeshi la Magereza, Uhamiaji, Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Wafanya biashara, Raia wema...