MAGUFULI ALICHELEWA KUWA RAIS WA NCHI- MASAUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YZAU4AT-598/XvHhPC8YrdI/AAAAAAALvDo/tDztKVOxGgsVwzIppapWtnLHB0gohuK9gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200623-WA0032.jpg)
Na Mwandishi wetu, BabatiALIYEKUWA mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa wa Mjini Babati Mkoani Manyara, Cosmas Bura Masauda amesema Rais John Magufuli alichelewa kuwa Rais wa Tanzania kwani amerudisha nchi kwenye misingi iliyoachwa na Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere.
Masauda akizungumza jana mjini Babati alisema Rais Magufuli ameirudisha Tanzania katika misingi bora hasa CCM kwani hata usipokuwa na fedha unaweza kugombea uongozi.
Alisema kutokana na Rais Magufuli kuirudisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SVF9loI-X8A/XveTYcEU9SI/AAAAAAALvs4/hBQgm7_Yw6kANZO2AAmPBJCt33m_UHTggCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
WANAOMPINGA RAIS MAGUFULI WANA URAIA WA NCHI MBILI-MASAUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SVF9loI-X8A/XveTYcEU9SI/AAAAAAALvs4/hBQgm7_Yw6kANZO2AAmPBJCt33m_UHTggCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
Masauda akizungumza jana mjini Babati alisema yeye alikuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa mwaka 2007 hadi 2015 hivyo anashangazwa na vigogo kama Bernard Membe wanampinga Rais Magufuli.
Alisema wanaompinga wanapaswa kutambua kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DbDSllT4TZk/XrLj7DKlQ8I/AAAAAAALpT8/m7fdCkUb_G4vWNPu9MYb3eLKzoXtfNyGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Rais-Magufuli.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s72-c/zzz.png)
Rais wa Ireland Mhe. Michael D. Higgins ampongeza Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s640/zzz.png)
SALAMU ZA PONGEZI
Rais wa Ireland, Mheshimiwa Michael D. Higgins amemtumia Salamu za Pongezi Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika Salamu zake hizo, Rais Higgins amesema Ireland na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri na wa kirafiki kwa miaka mingi, hivyo ana matarajio kwamba katika kipindi cha uongozi wa Rais Magufuli, uhusiano huo utaimarishwa zaidi.
“Ireland na Tanzania zimekuwa na mipango ya maendeleo na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DX_0fVUCThs/VmGbI76JGOI/AAAAAAADb7o/ixTcoN1oFog/s72-c/SAFIRI%2B1.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG
![](http://4.bp.blogspot.com/-DX_0fVUCThs/VmGbI76JGOI/AAAAAAADb7o/ixTcoN1oFog/s640/SAFIRI%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hAsJcAaHUzY/VmGbJKSRLLI/AAAAAAADb7s/30gEkTIPMv8/s640/WASILI.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7W5jOrVYP1c/VmGQuZ4dt-I/AAAAAAAIKMQ/2q9BG5htrVk/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7W5jOrVYP1c/VmGQuZ4dt-I/AAAAAAAIKMQ/2q9BG5htrVk/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iTexBmmlMUU/VmGQxX2RofI/AAAAAAAIKM8/VKUiZwrMo5s/s640/WASILI.jpg)
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Dk. Magufuli: Nchi inahitaji rais mkali
*Atangaza kiama kwa aliyefungua kesi kupinga mradi wa maji
*Arusha kombora kwa Kingunge
*Apokewa na CCM, Chadema Ubungo
Na Bakari Kimwanga, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema nchi inahitaji rais mkali ili mambo yaende huku akishangazwa na mmoja wa vigogo kufungua kesi kupinga mradi wa maji.
Amesema watu wa aina hiyo watakiona na anamuomba Mungu kwa siki tatu zilizobaki apewe urais kwa vile hao ndiyo ataanza kushughulika nao.
Kauli hiyo...
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Slaa: Magufuli anafaa kuwa rais
Na Khamis Mkotya, Dar
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa, amempigia debe mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akisema kuwa anafaa kuwa rais wa awamu ya tano.
Dk. Slaa amedhihirisha hisia zake hizo juzi usiku wakati akihojiwa katika kipindi maalumu kilichoandaliwa na kurushwa na Kituo cha Televisheni cha Star TV.
Dk. Slaa ambaye alizungumzia masuala mbalimbali, alisema anamuunga mkono Dk. Magufuli kwa kuwa ni...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Rais Magufuli kuwa Sankara wa Tanzania?
9 years ago
Habarileo13 Oct
Pinda: Magufuli anafaa kuwa rais, mchagueni
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CC-CCM) ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), Mizengo Pinda amewaomba wananchi wamchague John Magufuli kwa kuwa ndiye anayefaa.