Rais Magufuli kuwa Sankara wa Tanzania?
Thomas Sankara, alizaliwa Desemba 21, 1949 na kuuawa Oktoba 15, 1987 na rafiki na mshirika wake katika mapinduzi ya 1983 ya Burkina Faso jina lenye maana nchi ya watu wema, zamani ikiitwa Upper Volta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSoL66ERYTkXzQ6A-rPrUgD5ghN9-0jyC7wg9sNg*z1SMmUb0i9ZWdT7tCsmGLLl-g-gySUXrUOXaBdmoweh0C4/BREAKINGNEWS3.gif)
DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s72-c/jpm1.jpg)
MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s640/jpm1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecH0S1dOskA/VjtQ9LhIKpI/AAAAAAADB0Y/umjX2Ug3Xfs/s640/jpm3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PQPYGEH-0AQ/VjIijlUTHMI/AAAAAAABYPI/KRPt_5V2Vx0/s72-c/Magufuli-1.jpg)
BREAKING NEWS: NEC YAMTANGAZA DK. JOHN POMBE MAGUFULI KUWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PQPYGEH-0AQ/VjIijlUTHMI/AAAAAAABYPI/KRPt_5V2Vx0/s640/Magufuli-1.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Jaji Damian Lubuva amtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa kiti cha urais baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote na kumshinda mpinzania wake mkuu Ndugu Edwarld Lowasa aliyekuwa anagombea kwa tiketi ya Chadema kupitia muungano wa vyama vinne vya upinzani UKAWA, Dk John Pombe Magufuli ameshinda kwa kura 8.882.935 sawa na asilimia 58.46 huku Edwarld Lowasa akipata kura 6.072.848...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
Dkt Magufuli amesema kuwa serikali atakayoingoza atakapopata ridhaa ya kuingia Ikulu,itazifanya huduma za Afya kuwa bora na kuwabana wahudumu wa afya wenye tabia ya kuchukua dawa na kuziuza kwa watu binafsi.
Magufuli ambaye...
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’
![ma35](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ma35-300x194.jpg)
Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii
Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NWeK14oK28Y/VeCAA5jGTLI/AAAAAAAH0rg/PM1zThJFtvc/s640/_MG_8247.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DbDSllT4TZk/XrLj7DKlQ8I/AAAAAAALpT8/m7fdCkUb_G4vWNPu9MYb3eLKzoXtfNyGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Rais-Magufuli.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s72-c/_MG_6485.jpg)
DKT SHEIN AMNADI DKT MAGUFULI KISIWANI UNGUJA LEO,ASEMA ANATOSHA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s1600/_MG_6485.jpg)
Dkt Shein emebainisha wazi kwenye mkutano huo wa kampeni kuwa Dkt Magufuli ni mtu sahihi na anatosha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amesema kuwa iwapo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s72-c/zzz.png)
Rais wa Ireland Mhe. Michael D. Higgins ampongeza Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s640/zzz.png)
SALAMU ZA PONGEZI
Rais wa Ireland, Mheshimiwa Michael D. Higgins amemtumia Salamu za Pongezi Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika Salamu zake hizo, Rais Higgins amesema Ireland na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri na wa kirafiki kwa miaka mingi, hivyo ana matarajio kwamba katika kipindi cha uongozi wa Rais Magufuli, uhusiano huo utaimarishwa zaidi.
“Ireland na Tanzania zimekuwa na mipango ya maendeleo na...