ACHENI RUSHWA TUISAIDIE NCHI IPATE MAENDELEO -DK.MAGUFULI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CCxS8N4jzGk/VUIz3iiZ3MI/AAAAAAAHUSs/qOl7y8am3Uc/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Magufuli akizungumza katika ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi wa wizara Ujenzi katika Hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam leo.
Mhandisi Mussa Lyombe akizungumza leo jijini Dar es Salaam,katika ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi wa Wizara ya ujenzi.
Baraza la wafanyakazi wa wizara ya ujenzi waliohudhuria katika ufunguzi wa baraza hizo leo jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja ya waziri wa Ujenzi pamoja na Baraza la wafanyakazi wa wizara ya ujenzi....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Apr
‘Tumuombe Mungu nchi ipate katiba ya wengi’
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk Barnabas Mtokambali amesema vyama vya siasa haviwezi kuwa suluhisho la kupatikana kwa Katiba mpya bali kinachotakiwa ni kumuomba Mungu ili nchi ipate katiba yenye maslahi ya wengi na si kwa ajili ya kundi dogo la watu.
10 years ago
Vijimambo08 Feb
WAZUWIA RUSHWA NI WALARUSHWA WAKUBWA!!!! HII INACHEKESHA - NCHI HII IMEKWISHA - RUSHWA TOP TO BOTTOM!!!
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/rushwa-feb7-2015.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Viongozi acheni fitina, leteni maendeleo-Kinana
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Magufuli: Acheni wivu
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amewataka wahandisi kuacha kuoneana wivu na kupeana kazi ili kudumisha uzalendo katika ujenzi wa miradi mbalimbali hususan ya barabara.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yG4E1Er0Fo8/Xkp5QWBYyuI/AAAAAAALdsI/8VH6G14L2V4GxaOqQYrN7O5gZUsMiQAeQCLcBGAsYHQ/s72-c/ef64b131-15db-4664-b570-ef822c52e9a5.jpg)
INNOCENT KALOGERIS :VIONGOZI WA UPINZANI ACHENI KUICHAFUA NCHI KIMATAIFA RUDI NYUMBANI TUZUNGUMZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-yG4E1Er0Fo8/Xkp5QWBYyuI/AAAAAAALdsI/8VH6G14L2V4GxaOqQYrN7O5gZUsMiQAeQCLcBGAsYHQ/s640/ef64b131-15db-4664-b570-ef822c52e9a5.jpg)
Ameyasema Hayo wakati wa Hafla ya kuwapokea na kuwakabidhi Kadi rasmi madiwani wawili na wanachama Kadhaa wa Upinzani walioamua kurudi CCM wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu CCM Taifa Dr Bashiru Ally akiwa Morogoro Vijijini hafla imefanyika Ofisi za CCM Mkoa wa Morogoro Mtaa wa Saba...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Rushwa inavyoathiri miradi ya maendeleo
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Tusipokemea rushwa tutaiangamiza nchi yetu
TANZANIA hivi sasa inakabiliwa na rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka ambayo kwa kiasi kikubwa yamechangia kusuasua kwa maendeleo. Baaadhi ya Watanzania wenzetu wamekuwa na tabia ya kuwakejeli viongozi...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...