‘Tumuombe Mungu nchi ipate katiba ya wengi’
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk Barnabas Mtokambali amesema vyama vya siasa haviwezi kuwa suluhisho la kupatikana kwa Katiba mpya bali kinachotakiwa ni kumuomba Mungu ili nchi ipate katiba yenye maslahi ya wengi na si kwa ajili ya kundi dogo la watu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CCxS8N4jzGk/VUIz3iiZ3MI/AAAAAAAHUSs/qOl7y8am3Uc/s72-c/1.jpg)
ACHENI RUSHWA TUISAIDIE NCHI IPATE MAENDELEO -DK.MAGUFULI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CCxS8N4jzGk/VUIz3iiZ3MI/AAAAAAAHUSs/qOl7y8am3Uc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-54aJCzYlZk8/VUIz4YFbjqI/AAAAAAAHUS0/oEVepme58ek/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5MM7_exI5jw/VUIz2W9c_oI/AAAAAAAHUSk/k3ShXLNJfWY/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jH9pSGcC20E/VUIz6JjSPlI/AAAAAAAHUS8/ryGAEFKvC_E/s1600/4.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Wengi wape haitaipa nchi katiba inayofaa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s72-c/5e75f83c8ea98.jpg)
WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s640/5e75f83c8ea98.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.
Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.
Nenda...
11 years ago
Mwananchi19 May
Askofu: Hofu ya Mungu itatupa Katiba
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Bunge la Katiba mwenyezi Mungu alilaze mahali pema!
RAIS wangu, koo langu limenikauka kama gae! Usiku na mchana nimekulilia wewe Bwana. Machozi yangu yamegeuka kuwa ndiyo chakula changu. Kwanini unakaa mbali nyakati za shida? Taifa lako linaangamia, masikini...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
MUNGU AZIDI KUILINDA AMANI YA NCHI YETU YA TANZANIA NASI KWA PAMOJA TUIONE THAMANI YAKE
10 years ago
TZToday![](http://www.tanzaniatoday.co.tz/in-tz.png)
TanzaniaToday : Sasa ipate kwenye simu yako
Pata TanzaniaToday Kwenye Simu yako
Maudhui na Ubora ulele katika mwonekano mpya.
TanzaniaToday Kwenye Simu yako ... ni web app yenye maudhui yote na habari zote zipatikanazo kwenye tovuti yetu , ikiwa imerahisisha kwa ajli ya simu za mkononi.
Itembelee sasa!
Kwa kutumia simu, Andika m.tanzaniatoday.co.tz
sehemu ya anwani ya browser ya simu yako ya mkononi.
10 years ago
VijimamboWENGI WAVUTIWA NA “APP” INAYOTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII NCHI TANZANIA
10 years ago
Habarileo24 Sep
‘Wengi hawana uelewa wa Katiba’
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kimebaini Watanzania wengi hasa walio mikoa ya pembezoni, kutokuelewa kuhusu mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.