Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Acheni wivu

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amewataka wahandisi kuacha kuoneana wivu na kupeana kazi ili kudumisha uzalendo katika ujenzi wa miradi mbalimbali hususan ya barabara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ACHENI RUSHWA TUISAIDIE NCHI IPATE MAENDELEO -DK.MAGUFULI.

   Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Magufuli  akizungumza katika ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi wa wizara Ujenzi katika Hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam leo.Mhandisi Mussa Lyombe akizungumza leo jijini Dar es Salaam,katika ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi wa Wizara ya ujenzi. Baraza la wafanyakazi wa wizara ya ujenzi waliohudhuria katika  ufunguzi wa baraza hizo leo jijini Dar es Salaam.Picha ya pamoja ya waziri wa Ujenzi  pamoja na  Baraza la wafanyakazi wa wizara ya ujenzi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

9 years ago

Mwananchi

Dawa ya Wivu

Mhariri langu  swali, litue kwako mezani, Ina hofu yangu hali, jibu liwe makini, Kimara wala si mbali, makazi yangu jijini, Dawa ya wivu ni nini, nijibuni wahisani.

 

10 years ago

Mwananchi

DAWA YA WIVU NINI?

              Mhariri langu swali, litue kwako mezani, Inahofu yangu hali, jibu liwe makini, Kimara wala si mbali, makazi yangu Jijini, Dawa ya wivu ni nini? Nijibuni wahisani.

 

9 years ago

Mwananchi

Dawa ya wivu ni nini?

Nawauliza waganga, walio bara na pwani, Mikoba waliofunga, wakaeweka kwapani Wapigaji wamburuga, walo mitihani, Dawa ya moto ni mota, dawa ya wivu ninini?

 

11 years ago

Mwananchi

Ni wivu wa mapenzi au mfumodume?

Kama kuna matukio ambayo hayatasahaulika kirahisi miongoni mwa Watanzania wengi, ni matukio mawili yaliyohusishwa na wivu wa kimapenzi yaliyotokea Dar es Salaam mwaka 2013.

 

11 years ago

Mwananchi

Ajinyonga kwa wivu wa mapenzi

Mkazi wa Kijiji cha Shilabela, mkoani Geita, ambaye amefahamika kwa jina moja la Daud (35) amekufa kwa kujinyonga chooni kutokana na kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Je, unaweza kushinda tabia ya wivu?

Je, una ndugu au jamaa mwenye wivu? Unafikiri ana tabia hiyo kwa nini? Je, maisha yake yakoje? Anapendwa na ndugu zake? Je, anafanya mambo gani yanayokufanya uone ana wivu?

 

10 years ago

Habarileo

Wivu wawaponza wanawake uongozi

WIVU, majungu na ubinafsi vimetajwa kuwa mambo yanayosababisha wanawake kutochaguana jambo ambalo wametakiwa kubadilika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani