Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wivu wawaponza wanawake uongozi

WIVU, majungu na ubinafsi vimetajwa kuwa mambo yanayosababisha wanawake kutochaguana jambo ambalo wametakiwa kubadilika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanawake 2 wauawa kwa wivu wa mapenzi

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed MsangiWATU watatu wamekufa mkoani Mbeya katika matukio tofauti yakiwemo ya wanawake wawili kuuawa na waume zao kutokana na wivu wa kimapenzi wilayani Chunya.

 

5 years ago

Michuzi

SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAZOJIKITA KWENYE MRENGO WA JINSI YA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI,WENYE AZMA YA UPATIKANAJI WA HAKI ZA WANAWAKE.


Na.Vero Ignatus.
Mtandao wa wanawake,Katiba,Uongozi na Uchaguzi,kwa udhamini wa mfuko wa wanawake Tanzania(WFT)hivi karibuni uliendesha mada ya uchambuzi wa sheria tano za uchaguzi zilizojikita kwenye wa mrengo wa jinsi ya ushiriki wa wanawake katika uongozi unaolenga kwenye azma ya upatikanaji wa haki za wanawake na ujenzi wa nguvu za pamoja katika kuendeleza utetezi wa ukombozi wa kimapinduzi
Mkutano huo ulifanyika kwa njia ya mtandao wa zoom ulioendeshwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko...

 

11 years ago

Habarileo

Ukaidi wawaponza wabunge wa CUF

WABUNGE watatu kati ya 14 wa Chama cha wananchi (CUF), walioomba nafasi ya Ujumbe wa Baraza Kuu la chama hicho wamekosa nafasi hiyo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kukaidi kutekeleza wajibu wa kuchangia chama hicho kama mkataba wao unavyotaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake gombeeni nafasi za uongozi

Tanzania ina hazina ya wanawake wenye uwezo katika masuala ya uongozi na vipaji vya kuhamasisha maendeleo siyo kwa wanawake pekee bali jamii kwa jumla.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake na uongozi Afrika, duniani

Pamoja na sifa ya kuwa na uwezo, mwanamke lazima pia awe na sifa za kujiamini, kujituma, kutofautisha kati ya uongo na ukweli, kupambanua watu waongo na wasemakweli, kumheshimu mtu kwa sababu ya anachokitoa kwa jamii na siyo vinginevyo, pia kufahamu ulaghai unavyochangia mtu kukosa uadilifu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake wahamasishwa kuwania uongozi TZ

Wanawake visiwani Unguja wahamasishwa kuwania uongozi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake watakiwa kuwania uongozi majimboni

CHAMA cha Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) kimewakata wanawake wenzao kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali badala ya kusubiri nafasi za uteuzi. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Makamu Mwenyekiti wa chama...

 

10 years ago

Habarileo

Samia afurahishwa wanawake kuwania uongozi

MGOMBEA Mwenza wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan ameelezea kufurahishwa na juhudi za wanawake Zanzibar kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika majimbo ya uchaguzi na kwamba wameonesha ukomavu wa hali ya juu wa kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani