Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukaidi wawaponza wabunge wa CUF

WABUNGE watatu kati ya 14 wa Chama cha wananchi (CUF), walioomba nafasi ya Ujumbe wa Baraza Kuu la chama hicho wamekosa nafasi hiyo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kukaidi kutekeleza wajibu wa kuchangia chama hicho kama mkataba wao unavyotaka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Wabunge CUF wamshukia Ndugai

112*Wadai amevunja kanuni Dk. Shein,  polisi kuingia ukumbini

*Kubenea naye atangaza kumburuza mahakamani

Fredy Azzah, Dar na Ramadhan Hassan, Dodoma

WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) wamemtuhumu Spika wa Bunge, Job Ndugai  kumruhusu Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein  kuingia bungeni.

Kwa mujibu wa wabunge hao, Spika alifanya bhivyo  licha ya wao kupinga hatua hiyo.

Vilevile, Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), ametangaza kumfikisha mahakamani Spika Ndugai akidai kwamba alikiuka...

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge wa CUF wapata ajali Dodoma

Na Khamis Mkotya, Dodoma

WABUNGE wawili wa Chama cha Wananchi (CUF) wamepata ajali walipokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kushiriki Bunge la bajeti linaloendelea.

Wabunge hao, Mbunge wa Wete, Mbarouk Salim Ally na Mbunge wa Viti Maalumu, Riziki Omar Juma, walipata ajali hiyo ajana asubuhi katika eneo la Mikese mkoani Morogoro, baada ya gari lao kupinduka.

Mbunge wa Ole, Mohamed Rajabu Mbarouk (CUF), alithibitisha wabunge hao kupata ajali na kueleza kuwa tayari mipango ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wivu wawaponza wanawake uongozi

WIVU, majungu na ubinafsi vimetajwa kuwa mambo yanayosababisha wanawake kutochaguana jambo ambalo wametakiwa kubadilika.

 

5 years ago

CCM Blog

WABUNGE WENGINE CHADEMA NA CUF MBIONI KUTIKIA CCM

TAKRIBANI wabunge tisa kutoka vyama viwili vikubwa vya upinzani bungeni – Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wako mbioni kuvihama vyama vyao.

Taarifa kutoka kwa baadhi ya watu waliokaribu na wabunge hao zinasema, tayari wawakilishi hao wa wananchi, wamekamilisha majadiliano na baadhi ya viongozi wakuu wa vyama wanavyotarajia kujiunga navyo.

Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa MwanaHALISI ONLINE, hatua ya  kuondoka kwa wabunge hao katika kipindi hiki cha kuelekea...

 

9 years ago

StarTV

Kelele Za Kumpinga Rais Shein Wabunge CUF wasema siyo utovu wa nidhamu

 

Wabunge wa Chama cha Wananchi CUF  wamesema kitendo cha kupiga kelele na kutolewa nje ya Bunge na Spika Job Ndugai wakati wa kumkaribisha Rais wa Zanzibar Dokta Ally Mohamed Shein  ni cha kikatiba na siyo cha utovu wa nidhamu kama kinavyotafsiriwa.

Wabunge hao wamemwomba Spika kuitisha bunge la dharula ili wapate nafasi ya kujadili mustakabari mzima wa kisiasa visiwani Zanzibar.

 Wabunge hao wamesema walifikia hatua hiyo,  baada ya kumwandikia barua Spika wa Bunge Job Ndugai ya kumuomba...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujio wa Raila na hofu, ukaidi wa Uhuru, Ruto

Nairobi. Raila Odinga amekuwa nje ya nchi au ng’ambo kwa zaidi ya miezi miwili akihudhuria mikutano kuhusu uongozi katika Chuo Kikuu cha Boston, Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA


Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa siku ya Jumapili ya Tarehe 14 mwezi huu wa sita ndiyo siku rasmi ya kumkabidhi rasmi form ya kuomba kugombea urais wa jamhuri ya muunganoi wa Tanzania mwenyekiti wa chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA baada ya kujitokeza mwenyewe katika chama hicho kuomba nafasi hiyo licha ya chama hicho kutangaza kwa muda mrefu watu kujitokeza kutangaza nia.Naibu Mkurugenzi Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo akizngumza na wanahabari mbalimbali makao makuu ya chama...

 

11 years ago

GPL

YANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani