Ukaidi wawaponza wabunge wa CUF
WABUNGE watatu kati ya 14 wa Chama cha wananchi (CUF), walioomba nafasi ya Ujumbe wa Baraza Kuu la chama hicho wamekosa nafasi hiyo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kukaidi kutekeleza wajibu wa kuchangia chama hicho kama mkataba wao unavyotaka.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Wabunge CUF wamshukia Ndugai
*Wadai amevunja kanuni Dk. Shein, polisi kuingia ukumbini
*Kubenea naye atangaza kumburuza mahakamani
Fredy Azzah, Dar na Ramadhan Hassan, Dodoma
WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) wamemtuhumu Spika wa Bunge, Job Ndugai kumruhusu Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuingia bungeni.
Kwa mujibu wa wabunge hao, Spika alifanya bhivyo licha ya wao kupinga hatua hiyo.
Vilevile, Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), ametangaza kumfikisha mahakamani Spika Ndugai akidai kwamba alikiuka...
10 years ago
Mtanzania21 May
Wabunge wa CUF wapata ajali Dodoma
Na Khamis Mkotya, Dodoma
WABUNGE wawili wa Chama cha Wananchi (CUF) wamepata ajali walipokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kushiriki Bunge la bajeti linaloendelea.
Wabunge hao, Mbunge wa Wete, Mbarouk Salim Ally na Mbunge wa Viti Maalumu, Riziki Omar Juma, walipata ajali hiyo ajana asubuhi katika eneo la Mikese mkoani Morogoro, baada ya gari lao kupinduka.
Mbunge wa Ole, Mohamed Rajabu Mbarouk (CUF), alithibitisha wabunge hao kupata ajali na kueleza kuwa tayari mipango ya...
10 years ago
Habarileo14 Aug
Wivu wawaponza wanawake uongozi
WIVU, majungu na ubinafsi vimetajwa kuwa mambo yanayosababisha wanawake kutochaguana jambo ambalo wametakiwa kubadilika.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s72-c/gdfhgdf.jpg)
WABUNGE WENGINE CHADEMA NA CUF MBIONI KUTIKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s640/gdfhgdf.jpg)
Taarifa kutoka kwa baadhi ya watu waliokaribu na wabunge hao zinasema, tayari wawakilishi hao wa wananchi, wamekamilisha majadiliano na baadhi ya viongozi wakuu wa vyama wanavyotarajia kujiunga navyo.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa MwanaHALISI ONLINE, hatua ya kuondoka kwa wabunge hao katika kipindi hiki cha kuelekea...
9 years ago
StarTV23 Nov
Kelele Za Kumpinga Rais Shein Wabunge CUF wasema siyo utovu wa nidhamu
Wabunge wa Chama cha Wananchi CUF wamesema kitendo cha kupiga kelele na kutolewa nje ya Bunge na Spika Job Ndugai wakati wa kumkaribisha Rais wa Zanzibar Dokta Ally Mohamed Shein ni cha kikatiba na siyo cha utovu wa nidhamu kama kinavyotafsiriwa.
Wabunge hao wamemwomba Spika kuitisha bunge la dharula ili wapate nafasi ya kujadili mustakabari mzima wa kisiasa visiwani Zanzibar.
Wabunge hao wamesema walifikia hatua hiyo, baada ya kumwandikia barua Spika wa Bunge Job Ndugai ya kumuomba...
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Ujio wa Raila na hofu, ukaidi wa Uhuru, Ruto
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/UvbA724MJSs/default.jpg)
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
![](http://www.habari247.co.tz/site/wp-content/uploads/2014/12/lipumba.jpg)
11 years ago
GPLYANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014