Wanawake 2 wauawa kwa wivu wa mapenzi
WATU watatu wamekufa mkoani Mbeya katika matukio tofauti yakiwemo ya wanawake wawili kuuawa na waume zao kutokana na wivu wa kimapenzi wilayani Chunya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Aug
Wawili wauawa kikao cha usuluhishi wivu wa mapenzi
![Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/kamanda-leonard-paulo25_210_120.jpg)
WATU wawili, Said Abdallah (37) na Ally Mwishee (44), wameuawa kwa kupigwa risasi na kufa papo hapo katika uwanja wa mpira wa miguu wa shule ya Msingi Bonye, tarafa ya Bwakila, wilaya ya Morogoro jana.
Waliouawa walikuwa katika kikao cha kusuluhisha mgogoro wa mapenzi kati ya mume wa mke anayedai kufanya mapenzi na mtu mwingine chini ya Mwenyekiti wa Serikali ya Kitongoji cha Samata katika kijiji cha Bonye, Said Abdallah pamoja na watu wengine wawili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,...
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Auawa kwa wivu wa mapenzi
MWANAKIJIJI cha Itenka Tarafa ya Nsimbo wilayani Mlele Katavi, Mary Magese (39) ameuwawa na mwili wake kutupwa katika kisima cha maji. Mauaji hayo yalifanyika Septemba 14 mwaka huu saa mbili...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Aua kwa wivu wa mapenzi
MTU mmoja, Juma Zengo Ulata (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada kumpiga nondo ya kichwa na kumsababishia kifo Issa Mihayo Shilia (40), mkazi wa Shinyanga Tanzania Bara baada ya kumtuhumu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mkewe huko Bambia wilaya ya Kati Unguja.
11 years ago
Mwananchi20 May
Ajinyonga kwa wivu wa mapenzi
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Amuua mkewe kwa wivu wa mapenzi
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Aua jirani kwa wivu wa mapenzi
WANANCHI wa Kata ya Gisambalang’, Wilaya ya Hanang’, mkoani Manyara bado wanaendelea kugubikwa na wimbi la simanzi na majonzi kutokana na matukio ya mauaji mfululizo yanayotokea katika kata hiyo. Katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pKJO9s8NOU1MYviywrnTbE3U4*a*ruGMZDBvd1fBNu3fmRMYieyhIRVoC1epnyCzUQ-06p0-0UDNLAGjYYpBENd/wivu.gif)
AMUUA MKE KWA WIVU WA MAPENZI
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Mume aua mke kwa wivu wa mapenzi
NEEMA Sanga (33), mkazi wa Mngeta wilayani Kilombero mkoani hapa, ameuwawa nyumbani kwake kwa kucharangwa mapanga na anayedaiwa kuwa mumewe, Laurian Labani, kwa wivu wa mapenzi. Akizungumza na Waandishi wa...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Ajichoma moto hadi kufa kwa wivu wa mapenzi
MWANAKIJIJI wa Malolwa wilayani Sumbawanga Mkoa wa Rukwa, Ndekile Sunguli (38) amejiua kwa kujichoma moto ndani ya nyumba yake kwa wivu wa mapenzi. Kifo hicho kilitokea Septemba 29 mwaka huu...