Wawili wauawa kikao cha usuluhishi wivu wa mapenzi
WATU wawili, Said Abdallah (37) na Ally Mwishee (44), wameuawa kwa kupigwa risasi na kufa papo hapo katika uwanja wa mpira wa miguu wa shule ya Msingi Bonye, tarafa ya Bwakila, wilaya ya Morogoro jana.
Waliouawa walikuwa katika kikao cha kusuluhisha mgogoro wa mapenzi kati ya mume wa mke anayedai kufanya mapenzi na mtu mwingine chini ya Mwenyekiti wa Serikali ya Kitongoji cha Samata katika kijiji cha Bonye, Said Abdallah pamoja na watu wengine wawili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Feb
Wanawake 2 wauawa kwa wivu wa mapenzi
WATU watatu wamekufa mkoani Mbeya katika matukio tofauti yakiwemo ya wanawake wawili kuuawa na waume zao kutokana na wivu wa kimapenzi wilayani Chunya.
11 years ago
Mwananchi27 May
Ni wivu wa mapenzi au mfumodume?
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Ajinyonga kisa? Wivu wa mapenzi
NA CHIBURA MAKORONGO,KAHAMA
MFANYAKAZI wa kampuni ya uchambuaji pamba ya Kahama Oil Mills Ltd, Yusuph Abdallah (55) amekutwa amekufa bafuni baada ya kujinyonga kutokana na wivu wa mapenzi.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mhongolo, Elias Chuma, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tano asubuhi, baada ya mfanyakazi wa usafi wa nyumba ya kampuni aliyokuwa anakaa Abdallah, Pili Makoye, kumkuta Abdallah akiwa amejinyonga.
Kiongozi huyo alisema baada ya kuona hivyo, Pili alipiga owe ambapo watu...
11 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Auawa kwa wivu wa mapenzi
MWANAKIJIJI cha Itenka Tarafa ya Nsimbo wilayani Mlele Katavi, Mary Magese (39) ameuwawa na mwili wake kutupwa katika kisima cha maji. Mauaji hayo yalifanyika Septemba 14 mwaka huu saa mbili...
11 years ago
Mwananchi20 May
Ajinyonga kwa wivu wa mapenzi
10 years ago
Habarileo23 Dec
Aua kwa wivu wa mapenzi
MTU mmoja, Juma Zengo Ulata (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada kumpiga nondo ya kichwa na kumsababishia kifo Issa Mihayo Shilia (40), mkazi wa Shinyanga Tanzania Bara baada ya kumtuhumu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mkewe huko Bambia wilaya ya Kati Unguja.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Wivu wa mapenzi ulivyoua wengi 2013
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Wivu wa mapenzi waleta maafa china
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Amuua mkewe kwa wivu wa mapenzi