Ajichoma moto hadi kufa kwa wivu wa mapenzi
MWANAKIJIJI wa Malolwa wilayani Sumbawanga Mkoa wa Rukwa, Ndekile Sunguli (38) amejiua kwa kujichoma moto ndani ya nyumba yake kwa wivu wa mapenzi. Kifo hicho kilitokea Septemba 29 mwaka huu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Feb
Ajinyonga hadi kufa kwa gauni la mkewe kwa wivu
MKAZI wa kijiji cha Nyakabanga kata ya Butelankuzi, Bukoba vijijini, Eliud Charles (30) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia gauni la mkewe, Velidiana Eliud kutokana na wivu wa mapenzi.
10 years ago
Vijimambo31 Jan
AMCHINJA MPENZI WAKE MPAKA KUFA KISA WIVU WA MAPENZI
![](https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10922564_1540166222923624_2027979800861753973_n.jpg?oh=1d7a6c7590836b92ab1cf37a064e43a2&oe=556F60BA)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/1535614_1540166182923628_1455821636154848199_n.jpg?oh=c1877272e9c83c49582080e68ea0f0a8&oe=55673300&__gda__=1433149290_33dcbd593e44826056ffd37788d2d561)
11 years ago
Habarileo11 Aug
Amwagiwa uji wa moto wivu wa mapenzi
MTUMISHI wa ndani, Jacquiline Lasway (22), mkazi wa Minga mjini hapa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa mwajiri wake kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*UjH3BUcmkv*75dzCn1oGWYcFMkE4qLCullfEFkJfcc-hbPKDoBWg0WadnRn07X-EMzeMN6i7m3HLqYqLf3LClD/5.jpg)
VIBAKA WACHOMWA MOTO HADI KUFA
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Auawa kwa wivu wa mapenzi
MWANAKIJIJI cha Itenka Tarafa ya Nsimbo wilayani Mlele Katavi, Mary Magese (39) ameuwawa na mwili wake kutupwa katika kisima cha maji. Mauaji hayo yalifanyika Septemba 14 mwaka huu saa mbili...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Aua kwa wivu wa mapenzi
MTU mmoja, Juma Zengo Ulata (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada kumpiga nondo ya kichwa na kumsababishia kifo Issa Mihayo Shilia (40), mkazi wa Shinyanga Tanzania Bara baada ya kumtuhumu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mkewe huko Bambia wilaya ya Kati Unguja.
11 years ago
Mwananchi20 May
Ajinyonga kwa wivu wa mapenzi
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Aua jirani kwa wivu wa mapenzi
WANANCHI wa Kata ya Gisambalang’, Wilaya ya Hanang’, mkoani Manyara bado wanaendelea kugubikwa na wimbi la simanzi na majonzi kutokana na matukio ya mauaji mfululizo yanayotokea katika kata hiyo. Katika...
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Amuua mkewe kwa wivu wa mapenzi