Obama alaani mauji ya mateka wa Japan
Rais wa Marekani amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na IS
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124173701_japan_is_hostage_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.
Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja
Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.
Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
IS yamuua mateka mwengine wa Japan
Japan imelishtumu kundi la wanamgambo la Islamic State ambalo limetoa kanda ya video inayoonyesha mauaji ya mateka Kenjo Goto.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV21RV-AVGbuWDZVjkl2S8OUbkCypDuBMeJmY-CZxyF2xxAgHXEk8ik2UrmwioW5Q4Xq9OrIo0Z*EfBShAU*2oln/goto4.jpg)
IS WAMCHINJA MATEKA MWINGINE WA JAPAN
Kenji Goto aliyeuawa kwa kuchinjwa na IS. Kenji Goto akiwa kapiga magoti kabla ya kuchinjwa. Wazazi wa Kenji Goto, Yukio na Junko…
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Obama alaani utamaduni wa ghasia za bunduki
Obama amesema hali hii imetosha sasa nchini humo na kuwa lazima wananchi wachukue hatua kuhakikisha kuwa watu hawapati bunduki kwa urahisi
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Rais Obama alaani mauaji ya mwandishi
Rais Barack Obama amesema kuwa Marekani haitatishwa na mauaji wa mwandishi mwingine Mmarekani na kundi la Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Japan yalaani kanda kuhusu mateka
Waziri mkuu wa Japan, Shinzo Abe, amelaani kanda nyengine mpya ya video inayomwonyesha raia mmoja wa Japan akiwa ameshikwa mateka na kundi la Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Japan kuchunguza taarifa za Mateka wao
Japan inachunguza sauti iliyorekodiwa inawezakana ni ya mwandishi wa habari wa Japan aliyeshikiliwa mateka na Islamic state.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiPFXMJknd69yP35KHwRdTj0EnqDFME6jhtgpW3*znNWap0-Hpx4KY5bPUj3MaQg-P5bR*jw31rGgnBsb-Oqw0m/MRSOBAMA.jpg)
MICHELLE OBAMA NAYE ALAANI UTEKAJI WASICHANA NIGERIA
Michelle Obama (pichani) naye ameungana na maelfu ya watu duniani kulaani kitendo kilichofanywa na kikundi cha Boko Haram cha kuwateka na kuwaficha wasichana zaidi ya 200 nchini Nigeria, ambao hadi sasa hawajulikani waliko.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7Z3xt2JPZ3NLgO48QV*um7sQ-dqpoZqaq9i7ga8-Y6jsh7lNzY-0wAXUpTiROkO02a4AXgvzwSUGvMqnvvQIkr0/24DC2BDD000005782917804imagem17_1421737817694.jpg)
ISIS WADAI FIDIA YA DOLA MILIONI 200 KUWAACHIA MATEKA WA JAPAN
Video ikiwaonyesha mateka wa Kijapan, Kenji Goto Jogo na Haruma Yukawa, walio katika nguo za rangi ya chungwa, wakiwa na Jihadi John anayedai fidia ya Dola milioni 200 ili kuwaachia mateka hao. Waziri Mkuu wa Japana, Shinzo Abe, ambaye anategemewa kuokoa maisha ya mateka wa Kijapan.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania