Japan kuchunguza taarifa za Mateka wao
Japan inachunguza sauti iliyorekodiwa inawezakana ni ya mwandishi wa habari wa Japan aliyeshikiliwa mateka na Islamic state.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV21RV-AVGbuWDZVjkl2S8OUbkCypDuBMeJmY-CZxyF2xxAgHXEk8ik2UrmwioW5Q4Xq9OrIo0Z*EfBShAU*2oln/goto4.jpg)
IS WAMCHINJA MATEKA MWINGINE WA JAPAN
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
IS yamuua mateka mwengine wa Japan
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Obama alaani mauaji ya mateka wa Japan
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124173701_japan_is_hostage_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Rais wa Marekani Barack Obama amelaani kile alichokitaja kuwa mauaji ya kikatili ya mmoja wa raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo wa Islamic State Haruna Yukawa.
Rais Obama pia alitaka mateka mwingine anayeshikiliwa na wanamgambo hao mwandishi wa habari Kenji Goto kuachiliwa mara moja
Kwa njia ya video Goto alionekana kwenye mitandao akishika mkononi picha ya maiti ya bwan Yukawa.
Mapema wataalamu mjini Tokyo na Marekani walisema kuwa wanatathmini ukweli wa...
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Obama alaani mauji ya mateka wa Japan
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Japan yalaani kanda kuhusu mateka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7Z3xt2JPZ3NLgO48QV*um7sQ-dqpoZqaq9i7ga8-Y6jsh7lNzY-0wAXUpTiROkO02a4AXgvzwSUGvMqnvvQIkr0/24DC2BDD000005782917804imagem17_1421737817694.jpg)
ISIS WADAI FIDIA YA DOLA MILIONI 200 KUWAACHIA MATEKA WA JAPAN
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Taarifa ya tume kuchunguza operesheni tokomeza yaiva
NA RACHEL KYALA TUME ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza, inatarajia kuwasilisha taarifa yake kwa Rais Jakaya Kikwete, wakati wowote kuanzia sasa. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji (mstaafu) Hamisi Msumi, alisema hayo alipozungumza na Uhuru jana na kueleza kwamba wameshakamilika kazi. Alisema walifanya majumuisho ya taarifa na kukamilisha ripoti ambayo wanapaswa kumkabidhi Rais Kikwete.
“Wakati wowote kuanzia leo, tutamwomba Rais Kikwete atupangie siku ya kukutana naye ili tumkabidhi ripoti...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA APOKEA TAARIFA YA KAMATI ALIYOIUNDA YA KUCHUNGUZA ZAO LA KATANI
Nyumba nyingine zilizopendekezwa kurejeshwa Serikalini ni pamoja na nyumba kumi zilizoko ndani ya Jiji la Tanga katika maeneo ya Raskazone, Bombo, Nguvumali na Market street ambazo zilinunuliwa...
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Nape; Wanaotaka urais CCM, wapambe wao wanaoneza taarifa za uongo kuadhibiwa
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari, Katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar, kuhusu moja ya maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM, ya kuwataka wanaotaka kuwania urais kupitia CCM na wapambe wao kuacha kueneza taarifa za uongo kwenye vyombo vya habari na kwamba atakayebainika kufanya hivyo atachukulia hatua kali za kinidhamu.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisisitiza jambo katika mkutano huo na waandishi uliofanyika katika Ofisi...