AKATIKA MKONO, WAUNGANISHWA KWENYE KIFUNDO CHA MGUU KABLA YA KURUDISHWA ENEO LAKE
![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDMmh3K7XUlvc8fHtmI2K3s784EmDX*NZO9k9eQCpUQJWVbOm-31EJgcT93j48FOTWtTQ-K64-GcJQYi2yyyHwVU/1.jpg)
Madaktari wakiwa wameunganisha mkono wa Xiao kwenye kifundo cha mguu wakisubiri apone majeraha mengine ili waurudishe eneo lake. Madaktari wakiuangalia mkono wa Xiao Wei kabla ya kumfanyia oparesheni kuurudisha eneo lake.…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f2i-negptcA/XteeuZr7C6I/AAAAAAALsek/wZTZ8LMAWOUGSk7pA38YkHh7ff_AHccRwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B2.29.10%2BPM.jpeg)
CCBRT YAUNGANA NA WADAU KUADHIMISHA SIKU YA MGUU KIFUNDO NYAYO ZA KUPINDA DUNIANI 3, JUNI 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-f2i-negptcA/XteeuZr7C6I/AAAAAAALsek/wZTZ8LMAWOUGSk7pA38YkHh7ff_AHccRwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B2.29.10%2BPM.jpeg)
Lengo la Siku hii ya Mguu kifundo ni kukuza uelewa juu ya ulemavu huu na kuhamasisha utumiaji wa matibabu yake kwa kutumia njia ya Ponseti.
Miguu kifundo au nyayo zilizopinda nini?Mguu kifundo au nyayo za...
9 years ago
StarTV11 Nov
Mzee Juma Isangu aomba Serikali kumsaidia baada ya kuondolewa kwenye eneo lake
Serikali imeombwa kuingilia kati sakata la familia ya Mzee Juma Isangu mkazi wa Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha baada ya kuondolewa kwa amri ya mahakama katika eneo walilokuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka thelathini.
Wamedai kwamba haki haikutendeka.
Familia hiyo ambayo hadi hivi sasa imekosa mahali pa kuishi, inamshutumu mtoto wa aliyekuwa mmiliki wa kwanza wa eneo hilo kwa madai ya kughushi nyaraka za uhalali wake wakati familia hiyo ikiwa na vielelezo vya mahala hapo.
Kwa mujibu wa...
10 years ago
Bongo502 Dec
Sheddy Clever alalamika jina lake kutoandikwa kwenye kichupa cha Diamond ‘Ntampata Wapi’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--wzAJGzfH7E/XtecBIAWgCI/AAAAAAALseM/3v2D9q4VKtEg8-sGXBT2Hs8phtZqgz_YgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
UCHIMBAJI ENEO LA KINA CHA LANGO LA KUINGILIA MAJI KWENYE MITAMBO WAKAMILIKA KATIKA MRADI WA BWAWA LA KUFUA UMME LA MWALIMU NYERERE
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Msimamizi wa Ujenzi wa njia za maji pamoja na bwawa kwenye mradi huo Mhandisi Dismas Mbote amesema utekelezaji wa njia hiyo ulianza Mwezi Oktoba 2019 na kuongeza kazi ya uchimbaji wa lango imekamilika kwa kuchimbwa kina cha mita 53 ambapo hivi sasa kazi inayoendelea ni uondoaji...
9 years ago
StarTV16 Sep
Mwanamke avunjwa mguu kwenye kampeni Mkinya Singida
Harakati za kampeni zimezidi kuibua mambo ambapo Jeshi la Polisi linamshikilia mwenyekiti wa Kijiji cha Mkinya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida John Misanga kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mwanamke mmoja anayedaiwa kufanya fujo kwa kutaka arejeshewe kibatari chake kwenye Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Lucia Kidahu mwenye umri wa miaka 66 anadaiwa kwenda kwenye mkutano wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ikungi Mashariki kwa tiketi...
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Ukawa sasa mguu ndani, mguu nje
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbhs2JBaFWu-uWafdqJ1ZMSGZMAZ5fL9HddPcr9IlYOVIUhWZSi9xyhl3cMzL3zJ-Xx1WxwW3FNqA9ADjZE6YziW/1.jpg)
INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA
10 years ago
VijimamboPROF. MARK JAMES MWANDOSYA AWASHUKURU WOTE WALIOMUUNGA MKONO KABLA NA BAADA YA KUTANGAZA NIA.
Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya kutangaza nia, wakati wa na baada ya kuchukua...