Video ya kuchinjwa Sotloff ni hakika
Marekani imethibitisha kuwa picha ya video inayoonyesha kuchinjwa kwa mwandishi wake Steven Sotloff ni ya kweli.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbhs2JBaFWu-uWafdqJ1ZMSGZMAZ5fL9HddPcr9IlYOVIUhWZSi9xyhl3cMzL3zJ-Xx1WxwW3FNqA9ADjZE6YziW/1.jpg)
INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mwanafunzi anusurika kuchinjwa
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika shule ya msingi Majengo wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Said Joshua (12) amenusurika kufa baada ya kudaiwa kukatwa shingoni na baba yake aliyetaka kumuua.
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Hakika, rais wa awamu ya tano atateseka
10 years ago
Bongo Movies30 Dec
Hakika Familia ya Dr Cheni na Lulu ni Ndugu!!!
Undugu sio lazima uwe wa damu tu, hata kushirikiana kwenye raha na tabu nao ni undugu tena huu ndio mimi naukubali zaidi.Sote tunajua na kutambua ni jinsi gani mwingizaji Mahsein Awadh “Dr Cheni “ alivyokuwa mstari wa mbele katika kipindi chote cha sekeseke la mwigizaji mwenzake Elizabeth Michael “Lulu” ambae Dr Cheni amekuwa akimchukulia Lulu kama "mtoto" wake, hivyo hivyo Lulu amekuwa akimchukulia Dr Cheni kama "baba" na mtu wakaribu.
Sasa kilicho nifurahisha mimi kile ambacho familia ya...
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mwendesha bodaboda atekwa na kuchinjwa Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU watatu mkoani Singida,wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la dereva wa boda boda kuchomwa kisu shingoni na usoni juu ya jicho la kushoto.
Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Singida,ACP,Thobias Sedoyeka,alimtaja dereva wa boda boda aliyechomwa kisu na kufariki dunia,kuwa ni Sudi Jumanne (26) mkazi wa Sabasaba mjini hapa.
Alisema mwili wa dereva Sudi uliokotwa na raia wema Novemba...
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Uwanja Wa Mashabiki: Hakika Nampenda Wellu Sengo!!
Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikifuatilia movie za kibongo kuna huyu dada anaitwa WELU SENGO,nimetokea kumkubali sana kwa namna anavyoigiza na ana uwezo wa kuuvaa uhusika wowote atakaopewa,pia yuko smart kwenye lugha haswa anapoongea lugha ya malkia Elizabeth lakini mwisho kabisa ni mrembo sana yuko na baby face na ile figure doh!acha niusemee moyo wangu,I LOVES YOU WELU SENGO
By: Munagwa Jr
Huu ni uwanja wako wewe shabiki kutiririka chochote kuhusu wasanii na tasnia nzima ya filamu....
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Anusurika kifo baada ya kuchinjwa na baba yake
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Majengo wilayani Kahama, Shinyanga, Said Siraji (13), amenusurika kufa baada ya kuchinjwa shingo na baba yake mzazi. Hivi sasa mtoto huyo...
10 years ago
Bongo Movies30 Dec
Hakika Familia ya Dr Cheni na Lulu ni Ndugu Ati!!!
Undugu sio lazima uwe wa damu tu, hata kushirikiana kwenye raha na tabu nao ni undugu tena huu ndio mimi naukubali zaidi.Sote tunajua na kutambua ni jinsi gani mwingizaji Mahsein Awadh “Dr Cheni “ alivyokuwa mstari wa mbele katika kipindi chote cha sekeseke la mwigizaji mwenzake Elizabeth Michael “Lulu” ambae Dr Cheni amekuwa akimchukulia Lulu kama "mtoto" wake, hivyo hivyo Lulu amekuwa akimchukulia Dr Cheni kama "baba" na mtu wakaribu.
Sasa kilicho nifurahisha mimi kile ambacho familia ya...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Anusurika kuchinjwa katika ugomvi wa wakulima Wilaya ya Kiteto