Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwanja Wa Mashabiki: Hakika Nampenda Wellu Sengo!!

Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikifuatilia movie za kibongo kuna huyu dada anaitwa WELU SENGO,nimetokea kumkubali sana kwa namna anavyoigiza na ana uwezo wa kuuvaa uhusika wowote atakaopewa,pia yuko smart kwenye lugha haswa anapoongea lugha ya malkia Elizabeth lakini mwisho kabisa ni mrembo sana yuko na baby face na ile figure doh!acha niusemee moyo wangu,I LOVES YOU WELU SENGO

By: Munagwa Jr

Huu ni uwanja wako wewe shabiki kutiririka chochote kuhusu wasanii na tasnia nzima ya filamu....

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WELLU SENGO NAHESHIMIKA KUWA MAMA

Stori: Gladness Mallya HAPPY! Staa aliyeibuliwa na Shindalo la Vaa, Imba na Cheza Kama Rihanna lililoandaliwa na Kampuni ya Global Publishers, Wellu Sengo amefunguka kuwa anainjoi kuwa mama kwani ameanza kuheshimika. Staa aliyeibuliwa na Shindalo la Vaa, Imba na Cheza Kama Rihanna, Wellu Sengo akiwa na mwanaye. Akipiga stori na mwanahabari wetu, Wellu alisema amejifungua mwanaye aliyempa jina la Valempia hivi karibuni japo bado...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wellu Sengo Adaiwa Kutoka na Mume wa Mtu, Steven Nyerere

Saaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke wa pili au?? Yaan mkeo anavyokupenda!!! Sehemu zote muhimu au outing badala ya kutoka na mkeo unatoka na huyo....jana mliman city pia mlikuwa wote...sasa kama vipi tutambulishane otherwise wanawake tutaandamana!! Ole wako useme ni movie..... .projects .BongoMovies!!!

@sengomatilda 1. Steve ni mume wa mtu! 2. Familia yake inamuhitaji! 3. Mkewe hayuko tayari kuvunja ndoa yake 4.Wewe ni mrembo unastahili upate wako 5. Steve ana maneno matamu ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee wa swaga:JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na Mike Ndani

Tegemea mzigo huu mpya unaokwenda kwajina la  “Mzee wa Swage”kosa la defence...ni goli, Iliyotengenezwa na Shikamoo Mzee na Danija Jerusalem Film.

Wakali  kama, JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na  Mike wameshiriki kwenye filamu hii ambayo inatarajiwa kutoka hivi karibuni na itasambazwa na kampuni ya Stesps Entertainment.

Hii sio yakukosa madau!!!

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Akiwa Anasherekea Siku Yake ya Kuzaliwa, Wellu Sengo Ameyasema Haya

Staa na mrembo wa nguvu kutoka Bongo Movies, Wellu Sengo leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa, kupitia ukurasa wake mtandaoni amefungua haya.

“What can i say.... im speechles... zaidi napenda kumshukuru mungu kwa kila pumz alioweza nitunuku from day 1 mpaka dakka hii... pili mama yangu kipenz kwakunilea ..kunitunza ..nakuwa nami all the way mpaka leo anaitwa bibi... zaidi ni kwa wote walionisimamia in all ….. i rem n cherish it all... my family.. much love kwenu...”- Wellu ameandika mara...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwanja wa Mashabiki: Riyama Anakipaji Sio Ngekewa

“Yani Riyama  dah. ..kiukweli katika top 5 zangu za bongo movie basi huyu nanafasi yake ktk hiyo top 5
huyu ana kipaji na sio ngekewa wallah tena ni hatariiii u know.
aki uvaa uhusika unaona kweli huyu ni kiboko anajua ku act na yuko serious na anachokifanya
huwa najiuza ile movie alio cheza kama chizi ni yeye au kalogwa  kama chizi kweli
akicheza kulia analia mpaka kamasi linamshuka misha analilamba shikamo damwani”

By Matikibokoyao
 

Hii ni safu mpya, inatoa fursa kwa mashabiki wa filamu za...

 

9 years ago

StarTV

Mashabiki wa soka wapungua Uwanja wa CCM Kirumba.

Kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais wabunge na madiwani  nchini  Oktoba 25 pamoja na mchezo kati ya Yanga na timu ya Mwadui  ya mkoani  Shinyanga ni  miongoni mwa sababu ambazo zimetajwa  kuchangia mashabiki  kutoingia katika uwanja wa CCM Kirumba kushuhudia mchezo wa ligi kuu baina ya Toto African ya Mwanza na  JKT Mgambo

Huku Ligi kuu ikiwa  imeingia katika raundi ya tisa ushindani mkali unazidi kuongezeka,

Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Toto African ya jijini Mwanza Godwin Aiko...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwanja wa Mashabiki: ‘Mkongomani’ Awaomba Wema na Kajala Kuyamaliza

Moja kwamoja kutoka Inbox, Gloria anatiririka.

Jambo bongo movie! Naitwa gloria, ni mukongomani naye ishi south africa. Napenda sana kazi zenu, tena sana..... Nawapendeni wote. Nina ombi moja, ninge penda muwa unganishe wasani wema sepetu,na kajala. Ahhhhh mimi nawapenda sana, na kila mara ninapo soma kwenye mitandao bifu yao iki endelea ahhhh roho ina niuma sanaaaaa. Naomba wema,amusamehe kajala. Hakuna bina damu aliye kamilika, wote tuna jaribiwa, lakini njia mbadala yaku shinda hayo niku...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwanja wa Mashabiki: Nora Upo Wapi Dada Tumekumis

Wasanii wengi wamaigizo walikuwa wanafanya vizuri na kujipatia heshima kutokana na uigizaji wao ambo ulikuwa unabeba ujumbe na kuzingatia maadili.

Baada ya kuibuka wimbi la utengenezaji wa filamu, wengine waliendele na wengine hatujui wameshia wapi.

Kuna mwanadada ambae kiukweli sio mimi pekee bali jamii nzima  inayofuatilia maswala ya sanaa ya uigizaji inamkumbuka mwanadada Nuru Nassro  ‘NORA’ kutokana uwezo wake wa kuvaa uhusika. Jamani dada unajua tunakuhutaji kuliko unavyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwanja wa Mashabiki: Saga la Ladie Vs Ricky Bahl Vs Mzee wa Swaga

Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki mitandaoni kuhusiana na SAGA la Ladies Vs Ricky Bahl Vs Mzee wa Swaga  walioziona zote mbili.

Inasikitisha sana kama wasanii wetu wanaweza kufanya uhuni huu na kutuaminisha watanzania kwamba wametunga wao.
Binafsi nimeangalia muvi ya Ladie Vs Ricky Bahl mwaka 2011 na ni moja kati ya movie ya kihindi niliyoipenda kutokana na maudhui yaliyo kwenye movie hiyo.
Ricky Bahl alicheza kama Conman mtaalam aliyekuwa anawalaghai wadada mbalimbali kwa mapenzi ya dhati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani