WELLU SENGO NAHESHIMIKA KUWA MAMA
![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akR71IulTAKXmrnb4gG6XMBN-0g2Yg5mVLhnE8tFok7eRERJluFkk0KprxasRhhYJxbZ1fgoga8PYqsl0pqesXQY/WELLU.jpg)
Stori: Gladness Mallya HAPPY! Staa aliyeibuliwa na Shindalo la Vaa, Imba na Cheza Kama Rihanna lililoandaliwa na Kampuni ya Global Publishers, Wellu Sengo amefunguka kuwa anainjoi kuwa mama kwani ameanza kuheshimika. Staa aliyeibuliwa na Shindalo la Vaa, Imba na Cheza Kama Rihanna, Wellu Sengo akiwa na mwanaye. Akipiga stori na mwanahabari wetu, Wellu alisema amejifungua mwanaye aliyempa jina la Valempia hivi karibuni japo bado...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Uwanja Wa Mashabiki: Hakika Nampenda Wellu Sengo!!
Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikifuatilia movie za kibongo kuna huyu dada anaitwa WELU SENGO,nimetokea kumkubali sana kwa namna anavyoigiza na ana uwezo wa kuuvaa uhusika wowote atakaopewa,pia yuko smart kwenye lugha haswa anapoongea lugha ya malkia Elizabeth lakini mwisho kabisa ni mrembo sana yuko na baby face na ile figure doh!acha niusemee moyo wangu,I LOVES YOU WELU SENGO
By: Munagwa Jr
Huu ni uwanja wako wewe shabiki kutiririka chochote kuhusu wasanii na tasnia nzima ya filamu....
10 years ago
Bongo Movies03 May
Wellu Sengo Adaiwa Kutoka na Mume wa Mtu, Steven Nyerere
Saaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke wa pili au?? Yaan mkeo anavyokupenda!!! Sehemu zote muhimu au outing badala ya kutoka na mkeo unatoka na huyo....jana mliman city pia mlikuwa wote...sasa kama vipi tutambulishane otherwise wanawake tutaandamana!! Ole wako useme ni movie..... .projects .BongoMovies!!!
@sengomatilda 1. Steve ni mume wa mtu! 2. Familia yake inamuhitaji! 3. Mkewe hayuko tayari kuvunja ndoa yake 4.Wewe ni mrembo unastahili upate wako 5. Steve ana maneno matamu ya...
10 years ago
Bongo Movies10 Jan
Mzee wa swaga:JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na Mike Ndani
Tegemea mzigo huu mpya unaokwenda kwajina la “Mzee wa Swage”kosa la defence...ni goli, Iliyotengenezwa na Shikamoo Mzee na Danija Jerusalem Film.
Wakali kama, JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na Mike wameshiriki kwenye filamu hii ambayo inatarajiwa kutoka hivi karibuni na itasambazwa na kampuni ya Stesps Entertainment.
Hii sio yakukosa madau!!!
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Leo Akiwa Anasherekea Siku Yake ya Kuzaliwa, Wellu Sengo Ameyasema Haya
Staa na mrembo wa nguvu kutoka Bongo Movies, Wellu Sengo leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa, kupitia ukurasa wake mtandaoni amefungua haya.
“What can i say.... im speechles... zaidi napenda kumshukuru mungu kwa kila pumz alioweza nitunuku from day 1 mpaka dakka hii... pili mama yangu kipenz kwakunilea ..kunitunza ..nakuwa nami all the way mpaka leo anaitwa bibi... zaidi ni kwa wote walionisimamia in all ….. i rem n cherish it all... my family.. much love kwenu...”- Wellu ameandika mara...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjYn15RaSfReE3uWWpOgZrw26GVtfLN*LV7IORo0-hF4ZHwLhDyWjSiqIqLGbyPXkKtp1nUpj9dox04iW1jnBNA1/welu.jpg?width=650)
WELLU ANASA MIMBA TENA!
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Je, unawezaje kuwa mwajiriwa kazini na mama bora nyumbani?
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-K8CA7KPZNfc/VOQH_Q2uuwI/AAAAAAADZvw/iQHKGvC0wB0/s72-c/polls_i_au_crescut_urechile_cam_mari_1223584084_2034_227385_poll_xlarge.jpeg)
Mama Amuua Mwanae kisa kuwa na Masikio Marefu
![](http://4.bp.blogspot.com/-K8CA7KPZNfc/VOQH_Q2uuwI/AAAAAAADZvw/iQHKGvC0wB0/s1600/polls_i_au_crescut_urechile_cam_mari_1223584084_2034_227385_poll_xlarge.jpeg)
11 years ago
Habarileo15 Dec
Mama Kikwete ataka jamii kuwa karibu na yatima
JAMII ina jukumu la kuwatetea, kuwalinda na kuwasemea watoto yatima ambao ni hazina ya Taifa.
10 years ago
Bongo Movies21 Dec
Lulu:Kuwa Mama ni Heshima Sio Kuzeeka, Nipo Njiani
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa nchini, Elizabeth Michael “LULU” ameamua kufunguka na kusema mtazamo wake kuhusu swala la wasichana kuogopa/kukataa kuzaa kwakuofia kuwa watazeeka.
“Kwa akili Yangu ndogo... Nadhani kuwa Mzazi(Mama)ni heshima kubwa na Sio kuzeeka kama wasichana wengi wanavyofikiria....! Shout Out kwa Kila mwanamke aliyefanikisha kupata Heshima Hiyo...! Heshima kwa Mama wote Duniani ….Wengine Tuko njiani Inshallah”
Lulu aliweka bandiko hilo mtandaoni baada yakuweka...