Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wellu Sengo Adaiwa Kutoka na Mume wa Mtu, Steven Nyerere

Saaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke wa pili au?? Yaan mkeo anavyokupenda!!! Sehemu zote muhimu au outing badala ya kutoka na mkeo unatoka na huyo....jana mliman city pia mlikuwa wote...sasa kama vipi tutambulishane otherwise wanawake tutaandamana!! Ole wako useme ni movie..... .projects .BongoMovies!!!

@sengomatilda 1. Steve ni mume wa mtu! 2. Familia yake inamuhitaji! 3. Mkewe hayuko tayari kuvunja ndoa yake 4.Wewe ni mrembo unastahili upate wako 5. Steve ana maneno matamu ya...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WELLU SENGO NAHESHIMIKA KUWA MAMA

Stori: Gladness Mallya HAPPY! Staa aliyeibuliwa na Shindalo la Vaa, Imba na Cheza Kama Rihanna lililoandaliwa na Kampuni ya Global Publishers, Wellu Sengo amefunguka kuwa anainjoi kuwa mama kwani ameanza kuheshimika. Staa aliyeibuliwa na Shindalo la Vaa, Imba na Cheza Kama Rihanna, Wellu Sengo akiwa na mwanaye. Akipiga stori na mwanahabari wetu, Wellu alisema amejifungua mwanaye aliyempa jina la Valempia hivi karibuni japo bado...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwanja Wa Mashabiki: Hakika Nampenda Wellu Sengo!!

Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikifuatilia movie za kibongo kuna huyu dada anaitwa WELU SENGO,nimetokea kumkubali sana kwa namna anavyoigiza na ana uwezo wa kuuvaa uhusika wowote atakaopewa,pia yuko smart kwenye lugha haswa anapoongea lugha ya malkia Elizabeth lakini mwisho kabisa ni mrembo sana yuko na baby face na ile figure doh!acha niusemee moyo wangu,I LOVES YOU WELU SENGO

By: Munagwa Jr

Huu ni uwanja wako wewe shabiki kutiririka chochote kuhusu wasanii na tasnia nzima ya filamu....

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Akiwa Anasherekea Siku Yake ya Kuzaliwa, Wellu Sengo Ameyasema Haya

Staa na mrembo wa nguvu kutoka Bongo Movies, Wellu Sengo leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa, kupitia ukurasa wake mtandaoni amefungua haya.

“What can i say.... im speechles... zaidi napenda kumshukuru mungu kwa kila pumz alioweza nitunuku from day 1 mpaka dakka hii... pili mama yangu kipenz kwakunilea ..kunitunza ..nakuwa nami all the way mpaka leo anaitwa bibi... zaidi ni kwa wote walionisimamia in all ….. i rem n cherish it all... my family.. much love kwenu...”- Wellu ameandika mara...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee wa swaga:JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na Mike Ndani

Tegemea mzigo huu mpya unaokwenda kwajina la  “Mzee wa Swage”kosa la defence...ni goli, Iliyotengenezwa na Shikamoo Mzee na Danija Jerusalem Film.

Wakali  kama, JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na  Mike wameshiriki kwenye filamu hii ambayo inatarajiwa kutoka hivi karibuni na itasambazwa na kampuni ya Stesps Entertainment.

Hii sio yakukosa madau!!!

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

10 years ago

GPL

STEVEN KANUMBA ADAIWA KUIBA SIMU YA MSANII MAZOEZINI -3

WIKI iliyopita tuliishia pale Kanumba alipokuwa akijifunza kuigiza. Alikutana na dokta Nyoni ambaye alimfundisha mbinu mbalimbali huku pia akiwa amejiunga na kikundi cha Maigizo cha Kaole.
ENDELEA MWENYEWE... Kwenye Kundi la Kaole, Kanumba alikutana na msanii mkongwe Bi. Mwenda aliyekuwa akimjua vizuri mapito yake. Aliweza kumsaidia kwa kiasi kikubwa kumtetea kwa wakurugenzi hadi wakamkubali.Bi. Mwenda alimpa mawaidha ya sanaa...

 

10 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

11 years ago

GPL

MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU

NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...

 

10 years ago

Michuzi

Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Athumani Sheshe, akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni, Muigizaji, Steven Mengere (kulia) katika ofisi za chama hizo eneo la Mkwajuni, Jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni mke wa mgombea Dk. Sarah Makene. Picha na Elisa ShundaMuigizaji, Steven Mengere, akionyesha fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) baada ya kukabidhiwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani