Mwanafunzi anusurika kuchinjwa
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika shule ya msingi Majengo wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Said Joshua (12) amenusurika kufa baada ya kudaiwa kukatwa shingoni na baba yake aliyetaka kumuua.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Anusurika kifo baada ya kuchinjwa na baba yake
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Majengo wilayani Kahama, Shinyanga, Said Siraji (13), amenusurika kufa baada ya kuchinjwa shingo na baba yake mzazi. Hivi sasa mtoto huyo...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Anusurika kuchinjwa katika ugomvi wa wakulima Wilaya ya Kiteto
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Video ya kuchinjwa Sotloff ni hakika
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mwendesha bodaboda atekwa na kuchinjwa Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU watatu mkoani Singida,wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la dereva wa boda boda kuchomwa kisu shingoni na usoni juu ya jicho la kushoto.
Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Singida,ACP,Thobias Sedoyeka,alimtaja dereva wa boda boda aliyechomwa kisu na kufariki dunia,kuwa ni Sudi Jumanne (26) mkazi wa Sabasaba mjini hapa.
Alisema mwili wa dereva Sudi uliokotwa na raia wema Novemba...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mama, watoto wake wawili wauawa kwa kuchinjwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvsbTZqUya9*YuJFJYGlXQ128CBnlzQ772y7a375drR8CAeohWj*iyhtjp0OCLyDz0W0ujRT*WgqyE726Tv1EPAq/BACKUWAZI.jpg?width=650)
BODABODA AFA KWA KUCHINJWA, NDUGU WAZIKA MGOMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbhs2JBaFWu-uWafdqJ1ZMSGZMAZ5fL9HddPcr9IlYOVIUhWZSi9xyhl3cMzL3zJ-Xx1WxwW3FNqA9ADjZE6YziW/1.jpg)
INASIKITISHA: ISIS WATOA VIDEO INAYOONYESHA MATEKA AKICHIMBA KABURI LAKE KABLA YA KUCHINJWA