Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BANGI YAHALALISHWA KWENYE JIMBO LINGINE MAREKANI

Habari zinasema kwamba Marekani kuna Majimbo kama Alaska, Colorado, Nevada na New York wao wamehalalisha matumizi ya Bangi na mtu anaruhusiwa kuwa nayo kwa kiasi kidogo tu.. Gavana wa Jimbo la Delaware Marekani, Jack Allan Markell kaingia kwenye Headlines leo baada ya kusaini Sheria inayoruhusu matumizi ya bangi.
Kwenye Sheria hiyo mtu wangu huruhusiwi tu kuvuta sehemu ya watu wengi, na kama ukikamatwa umekiuka kanuni hiyo fine yake imepunguzwa pia kutoka Dola 1,150 mpaka Dola 100 tu !!Jumla...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI

Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS. SAA chache baada ya kuuwa wanajeshi 300 wa Syria, Kundi la wapiganaji wa ISIS limetoa onyo lingine kwa Marekani likiachia video inayowaonyesha mateka 15 wa Kikurd ambao nao watauawa iwapo Marekani haitaondoa majeshi yake. ISIS wamesema wataendelea kuwachinja mateka hao mpaka Marekani itakapoondoa majeshi yake. Katika video hiyo, Kundi la ISIS linaonekana… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bangi halali katika jimbo la Washington

Matumizi ya Bangi kwa ajili ya kujiburudisha yatahalalishwa leo Jumanne katika jimbo la Washinton nchini Marekani.

 

5 years ago

Bongo5

Marekani: Wasanii walivyosherehekea siku ya bangi, 4/20.

Siku ya jana, tarehe 20, mwezi Aprili, nchini Marekani, ilikua maalum ya kusherehekea Bangi,ijulikanayo,kama 4/20.

420 ni namba za siri zinazotumika kuashiria desturi maalum maarufu kama Cannabis Culture nchini humo na baadhi ya maeneo duniani.

Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, wasanii hawa, nchini humo, wanajulikana zaidi kwa ku-enjoy kush mara kwa mara, na kutoona nishahi kupost katika mitandao yao ya kijamii.


Rihanna


Asap Rocky


Snoop Dogg


Future


Rick Ross


Miley Cyrus


Chris Brown

 

11 years ago

BBCSwahili

Gazeti lataka Marekani kuhalalisha bangi

Gazeti moja maarufu nchini Marekani ,new York Times limetaka bangi kuhalalishwa nchini humo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanaswa wakisafirisha bangi kwenye basi

JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watano kwa kosa la kukutwa wakisafirisha bangi magunia matano katika gari la abiria aina ya Toyota Coaster. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini...

 

9 years ago

Bongo5

Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi — Mr Blue

Rapper Mr Blue amesema kuingia kwenye uvutaji wa bangi kulimsabisha aache shule na kutaka kukaa kijiweni zaidi. Mr Blue aliliambia gazeti la Mwananchi kuwa, kuna vitu vingi ameshindwa kufanya kotokana na kuwa mtumwa wa bangi. “Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi,” anasema. “Siwezi kusema ni madawa ya kulevya kama inavyojulikana kwa unga na cocaine. Sijawahi […]

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AKUTANA NA GAVANA WA JIMBO LA MARYLAND, MAREKANI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Gavana wa Jimbo la Maryland la nchini Marekani, Mhe. Martin O'Malley walipokutana jijini Washington D.C kwa mazungumzo kuhusu namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Jimbo hilo na Tanzania katika masuala ya uchumi, jamii na siasa. Mhe. Membe alipata fursa ya kukutana na Gavana huyo alipokuwa mjini humo kwa ajili ya kumwakilisha Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani