BANGI YAHALALISHWA KWENYE JIMBO LINGINE MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-EkUnEJVIzyw/VYRLxdIJihI/AAAAAAAACJ0/nPxb6nfnDsM/s72-c/Legal-Cannabis-Sensi-Seeds-Blog.png)
Habari zinasema kwamba Marekani kuna Majimbo kama Alaska, Colorado, Nevada na New York wao wamehalalisha matumizi ya Bangi na mtu anaruhusiwa kuwa nayo kwa kiasi kidogo tu.. Gavana wa Jimbo la Delaware Marekani, Jack Allan Markell kaingia kwenye Headlines leo baada ya kusaini Sheria inayoruhusu matumizi ya bangi.
Kwenye Sheria hiyo mtu wangu huruhusiwi tu kuvuta sehemu ya watu wengi, na kama ukikamatwa umekiuka kanuni hiyo fine yake imepunguzwa pia kutoka Dola 1,150 mpaka Dola 100 tu !!Jumla...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCAXpOYH-RyBMwo77IAWjdJ6*McTBevDHudbBlalyHEGelbKvJJonFFHsK9I*MURD1C*DQffKKJbiwnV1qnn1joM/MATEKA.jpg)
WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Bangi halali katika jimbo la Washington
5 years ago
Bongo514 Feb
Marekani: Wasanii walivyosherehekea siku ya bangi, 4/20.
Siku ya jana, tarehe 20, mwezi Aprili, nchini Marekani, ilikua maalum ya kusherehekea Bangi,ijulikanayo,kama 4/20.
420 ni namba za siri zinazotumika kuashiria desturi maalum maarufu kama Cannabis Culture nchini humo na baadhi ya maeneo duniani.
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, wasanii hawa, nchini humo, wanajulikana zaidi kwa ku-enjoy kush mara kwa mara, na kutoona nishahi kupost katika mitandao yao ya kijamii.
Rihanna
Asap Rocky
Snoop Dogg
Future
Rick Ross
Miley Cyrus
Chris Brown
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Gazeti lataka Marekani kuhalalisha bangi
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Wanaswa wakisafirisha bangi kwenye basi
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watano kwa kosa la kukutwa wakisafirisha bangi magunia matano katika gari la abiria aina ya Toyota Coaster. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini...
9 years ago
Bongo512 Oct
Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi — Mr Blue
11 years ago
MichuziTume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA NA GAVANA WA JIMBO LA MARYLAND, MAREKANI