Marekani: Wasanii walivyosherehekea siku ya bangi, 4/20.
Siku ya jana, tarehe 20, mwezi Aprili, nchini Marekani, ilikua maalum ya kusherehekea Bangi,ijulikanayo,kama 4/20.
420 ni namba za siri zinazotumika kuashiria desturi maalum maarufu kama Cannabis Culture nchini humo na baadhi ya maeneo duniani.
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, wasanii hawa, nchini humo, wanajulikana zaidi kwa ku-enjoy kush mara kwa mara, na kutoona nishahi kupost katika mitandao yao ya kijamii.
Rihanna
Asap Rocky
Snoop Dogg
Future
Rick Ross
Miley Cyrus
Chris Brown
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Gazeti lataka Marekani kuhalalisha bangi
11 years ago
Michuzi
wasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha mafunzo kwa wasanii wa tanzania

10 years ago
Africanjam.Com
BANGI YAHALALISHWA KWENYE JIMBO LINGINE MAREKANI

Kwenye Sheria hiyo mtu wangu huruhusiwi tu kuvuta sehemu ya watu wengi, na kama ukikamatwa umekiuka kanuni hiyo fine yake imepunguzwa pia kutoka Dola 1,150 mpaka Dola 100 tu !!Jumla...
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Siku ya wanawake duniani 2020: Kwa picha wanawake walivyosherehekea jijini Dar es salaam
10 years ago
Michuzi.jpg)
Wafanyakazi Wanawake wa Tanga Cement Walivyosherehekea Siku ya Wanawake Duniani mjini Tanga
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WASANII KUTOKA MAREKANI


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wasanii nyota wa filamu na muziki kutoka Marekani walioko nchini kwa ziara ya kutoa mafunzo kwa wasanii wa Tanzania. Wasanii hao ni na Terrence J. Jenkins, mwendeshaji wa kipindi cha muziki kwenye televisheni ya E! Entertainment (wa pili kulia) Chaka Zulu, Mtendaji wa Shughuli za Muziki kutoka Kampuni ya Disturbing The Peace Records (wa pili kushoto) na Davis Banner, mwigizaji, mwanamuziki, mtunzi na msimamizi wa shughuli za muziki ambaye amepata...
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Wasanii watunukiwa tuzo Siku ya Msanii
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WASANII wanne wa sanaa mbalimbali nchini juzi wametunukiwa tuzo maalumu katika usiku wa tuzo za wasanii zilizofanyika katika ukumbi wa Nyumba ya Sanaa, Posta Dar es Salaam.
Tuzo hizo zilitolewa na Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Elisante Gabriel, huku ikihudhuriwa na wasanii mbalimbali.
Tuzo ya kwanza ya heshima ya sanaa za maonyesho ilikwenda kwa mwigizaji mkongwe nchini ambaye michezo yake ilikuwa ikisikika kwenye redio Tanzania...
9 years ago
Michuzi
WASANII WATAKIWA KUCHAGAMKIA MAAZIMISHO YA SIKU YAO

Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye programu maalum ya kujadili ushiriki wa wasanii kwenye siku hii muhimu kwao marais wa mashirikisho ya wasanii nchini walisema kwamba wakati umefika kwa wasanii wote nchini kuamka na kuwa mstari wa mbele...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Siku ya Wanawake iwe mwanzo mpya kwa wasanii wetu wa kike
MACHI 8 ya kila mwaka ni Siku ya Wanawake Duniani, ambayo husherehekewa kote duniani, ambapo Watanzania wanaungana na wengine kuipokea siku hiyo chini ya kaulimbiu ambayo kwa mwaka huu ni...