Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gazeti lataka Marekani kuhalalisha bangi

Gazeti moja maarufu nchini Marekani ,new York Times limetaka bangi kuhalalishwa nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wapiga kura wakataa kuhalalisha bangi Ohio

Wapiga kura katika jimbo la Ohio, nchini Marekani wamekataa pendekezo la kuhalalisha matumizi ya bangi.

 

5 years ago

Bongo5

Marekani: Wasanii walivyosherehekea siku ya bangi, 4/20.

Siku ya jana, tarehe 20, mwezi Aprili, nchini Marekani, ilikua maalum ya kusherehekea Bangi,ijulikanayo,kama 4/20.

420 ni namba za siri zinazotumika kuashiria desturi maalum maarufu kama Cannabis Culture nchini humo na baadhi ya maeneo duniani.

Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, wasanii hawa, nchini humo, wanajulikana zaidi kwa ku-enjoy kush mara kwa mara, na kutoona nishahi kupost katika mitandao yao ya kijamii.


Rihanna


Asap Rocky


Snoop Dogg


Future


Rick Ross


Miley Cyrus


Chris Brown

 

10 years ago

Africanjam.Com

BANGI YAHALALISHWA KWENYE JIMBO LINGINE MAREKANI

Habari zinasema kwamba Marekani kuna Majimbo kama Alaska, Colorado, Nevada na New York wao wamehalalisha matumizi ya Bangi na mtu anaruhusiwa kuwa nayo kwa kiasi kidogo tu.. Gavana wa Jimbo la Delaware Marekani, Jack Allan Markell kaingia kwenye Headlines leo baada ya kusaini Sheria inayoruhusu matumizi ya bangi.
Kwenye Sheria hiyo mtu wangu huruhusiwi tu kuvuta sehemu ya watu wengi, na kama ukikamatwa umekiuka kanuni hiyo fine yake imepunguzwa pia kutoka Dola 1,150 mpaka Dola 100 tu !!Jumla...

 

10 years ago

Vijimambo

KUKANUSHA TAARIFA ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA JAMHURI KUHUSIANA NA ZIARA YA WAZIRI LAZARO NYALANDU NCHINI MAREKANI

Timu ya Vijimambo inamasikitiko makubwa ya habari ya upotoshaji iliyoandikwa na gazeti la Jamhuri lililobeba kichwa cha habari "AUNTY EZEKIEL ATANUA NA WAZIRI NYALANDU MAREKANI" yakiwemo magazeti mengine yaliyodandia kuandika habari hii bila kujua ukweli upo wapi. Timu ya Vijimambo ikiwemo kamati ya maandalizi imechukizwa sana kwa Gazeti hili kuandika habari ya kizushi na inayojeruhi hisia ya familia ya Mhe. Waziri  Lazaro Nyalandu kwa makusudi. 
Habari hii ni uongo ulioandikwa kichochezi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

IKULU yakanusha taarifa ya gazeti la Mwananchi inayodai “Rais Kikwete analipwa Dola za Marekani 192,000 kwa mwaka”

Untitled

Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika ni hawa hapa”.

Katika habari hiyo ambayo gazeti hilo linadai chanzo chake ni “uchambuzi wa mtandao wa African Review” inadaiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, anashilikia nafasi ya tano miongoni mwa viongozi 38 wa nchi za Afrika wanaolipwa mshahara...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa Marekani waeleza kusikitishwa kwa kukamatwa kwa wapinzani na kufungiwa gazeti Tanzania

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa tamko la kusikitishwa na walichokiita hatua za serikali ya Tanzania kuminya demokrasia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lataka mgogoro Bukoba uishe

MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Benadetha Mshashu, ameitaka wizara husika kuhakikisha inasimamia na kuupatia ufumbuzi mgogoro wa uongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lataka madeni TTCL yalipwe

KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imewataka wanaodaiwa katika Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kulipa madeni yao kwa wakati, ili iweze kujiendesha kwa ufanisi zaidi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la US lataka Ukraine ipewe Silaha

Wakuu wa bunge la wawakilishi Marekani wamemwandikia barua Rais Obama wakimtaka kutoa silaha kwa Ukraine ili kupambana na waasi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani