WAZIRI MEMBE AKUTANA NA GAVANA WA JIMBO LA MARYLAND, MAREKANI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Gavana wa Jimbo la Maryland la nchini Marekani, Mhe. Martin O'Malley walipokutana jijini Washington D.C kwa mazungumzo kuhusu namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya Jimbo hilo na Tanzania katika masuala ya uchumi, jamii na siasa. Mhe. Membe alipata fursa ya kukutana na Gavana huyo alipokuwa mjini humo kwa ajili ya kumwakilisha Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi11 Sep
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Hj55z8hMSqg/VUBtVS-Jh7I/AAAAAAABfRA/SmAs9obS6cE/s1600/mi%2B(1).jpg?width=600)
WAZIRI WA MEMBE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Hj55z8hMSqg/VUBtVS-Jh7I/AAAAAAABfRA/SmAs9obS6cE/s72-c/mi%2B(1).jpg)
WAZIRI WA MEMBE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hj55z8hMSqg/VUBtVS-Jh7I/AAAAAAABfRA/SmAs9obS6cE/s1600/mi%2B(1).jpg)
10 years ago
VijimamboSALA YA EID ILIOSALIWA KATIKA JIMBO LA MARYLAND NCHINI MAREKANI
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UTURUKI
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete akutana na Waziri Mkuu wa Australia na Gavana Mkuu wa nchi hiyo
![IMGL0560](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0560.jpg)
![IMGL0623 (2)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0623-2.jpg)
![IMGL0758](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0758.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Waziri Membe akutana na wasanii wa filamu mkoa wa Morogoro
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na wasanii wa tasnia ya filamu mkoa wa Morogoro jana, wakati alipokuwa mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo wanaCCM zaidi ya 950 walimdhamini. (Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwa katika picha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JsPbpdBP164/XmvvaVCaAdI/AAAAAAALjBc/Kkq2Z4sC96k3TOWlgv6u4YiOeIXXWgkSACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7cb1586ca171m6nz_800C450.jpg)
Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-JsPbpdBP164/XmvvaVCaAdI/AAAAAAALjBc/Kkq2Z4sC96k3TOWlgv6u4YiOeIXXWgkSACLcBGAsYHQ/s640/4bv7cb1586ca171m6nz_800C450.jpg)
Mike DeWine amesema, anazo ripoti kwamba asilimia moja ya wakazi wa jimbo la Ohio wameambukizwa virusi vya Corona, suala ambalo lina maana kwamba, zaidi ya Wamarekani laki moja wa Ohio wameathiriwa na virusi hivyo.
Mike DeWine ambaye alikuwa akizungumza na televisheni ya CNN ya Marekani amesema yumkini jimbo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HIhiZ_GH2FQ/VYrdHOonEbI/AAAAAAAHjkU/JT1IcPrT-x4/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE AKUTANA NA WASANII WA FILAMU MKOA WA MOROGORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HIhiZ_GH2FQ/VYrdHOonEbI/AAAAAAAHjkU/JT1IcPrT-x4/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eKN0Dmzocbw/VYrdHLEKcbI/AAAAAAAHjkY/6UO7ZMln8w0/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10