Wanaswa wakisafirisha bangi kwenye basi
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watano kwa kosa la kukutwa wakisafirisha bangi magunia matano katika gari la abiria aina ya Toyota Coaster. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Mke, mume wanaswa na bangi Arusha
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s72-c/unnamed+(80).jpg)
watu watatu mbaroni kwa kukutwa na bangi ndani ya basi la new force dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s1600/unnamed+(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pqfbYhGJkxs/U09qvBT5DqI/AAAAAAAFbcw/Vi92WzBnyvU/s1600/unnamed+(81).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N4sN91wd6w8/U09qvdy619I/AAAAAAAFbcs/8ZS_1MDZdEg/s1600/unnamed+(82).jpg)
9 years ago
Bongo512 Oct
Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi — Mr Blue
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-EkUnEJVIzyw/VYRLxdIJihI/AAAAAAAACJ0/nPxb6nfnDsM/s72-c/Legal-Cannabis-Sensi-Seeds-Blog.png)
BANGI YAHALALISHWA KWENYE JIMBO LINGINE MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-EkUnEJVIzyw/VYRLxdIJihI/AAAAAAAACJ0/nPxb6nfnDsM/s400/Legal-Cannabis-Sensi-Seeds-Blog.png)
Kwenye Sheria hiyo mtu wangu huruhusiwi tu kuvuta sehemu ya watu wengi, na kama ukikamatwa umekiuka kanuni hiyo fine yake imepunguzwa pia kutoka Dola 1,150 mpaka Dola 100 tu !!Jumla...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuCBkvklC5QH9p5emsG-YsV6J69Az*-mlw6UOzxEO*mJ6uDDROZRDil-sJWQpVEFaBoQSWXPKPkTF7kqbmJ-dsaB/27959ADD000005783039495imagem37_1429085955348.jpg?width=650)
TYGA, KYLIE WANASWA KWENYE DUKA LA VITO
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
Sabby, Cyrill Wanaswa Wakiwa Kwenye Pozi Tata!
Mrembo na staa wa Bongo Movie, Sabrina Omary ‘Sabby’ na muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi.
Chanzo chanzo makini cha GPL kilisema wawili hao walionekana hotelini hapo wakiwa eneo la kuogelea na walipomaliza walihamia katika viti ambako sasa walikumbatiana kimahaba kana kwamba hakuna mtu anayewaona.
Kwa nyakati tofauti walipoulizwa kuhusu...
11 years ago
Habarileo14 Apr
Wanaswa kwa tuhuma ya kuwa na heroin kwenye kondomu
VIJANA wawili wenye asili ya kiasia, wakazi wa jijini hapa, wametiwa mbaroni na polisi mkoani hapa kwa tuhuma ya kukutwa na kete 170 za dawa za kulevya aina ya heroin na bangi kete 300.
11 years ago
BBCSwahili16 Feb
Mlipuko kwenye basi la watalii Misri
10 years ago
Habarileo24 Feb
Mbaroni kusafirisha milipuko kwenye basi
JESHI la Polisi mkoani Mtwara, linawashikilia watu wawili Shaha Saidi (45) na Shedrack Alaya (47), fundi seremala mkazi wa Mkuti, kwa kosa la kusafirisha pakiti 166 za milipuko ndani ya basi kinyume cha sheria.