watu watatu mbaroni kwa kukutwa na bangi ndani ya basi la new force dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s72-c/unnamed+(80).jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia abiria wa tatu waliokuwa wakisafiri na Basi la New Force kutoka Kahama kuelekea Jijini Dar es Salaam.Kwa Mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma David Misime, wamekamatwa leo mchana wakiwa wanasafirisha Debe ishirini za bangi.Wanaoshikiliwa ni Kevin Prospar(aliyekaa pichani kulia),Joseph Charles (aliyekaa kulia) na John Joseph(aliye kaa katikati)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma David Misime kushoto akikagua bangi iliyo kamatwa.
Basi la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gArkKqgBaiI/U2lDXBJdBOI/AAAAAAAFf78/6HbREOmldu4/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
34 MBARONI KWA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KIBAIGWA NA WENGINE WATATU (3) KWA KULIMA BANGI HEKARI SITA NA NUSU MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gArkKqgBaiI/U2lDXBJdBOI/AAAAAAAFf78/6HbREOmldu4/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs.
Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema Vijana wanaokadiriwa kuwa zaidi ya miatatu wakishirikiana na Wabeba mizigo wa Soko Kuu la Mazao la...
11 years ago
Michuzi34 MBARONI KWA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KIBAIGWA NA WENGINE WATATU KWA KULIMA BANGI HEKARI SITA NA NUSU MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs. Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani)amesema Vijana wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 300 wakishirikiana na Wabeba mizigo wa Soko Kuu la Mazao...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p0Z5czUmZow/U90KR3WfjmI/AAAAAAAF8ec/8AAHw7Gmyg0/s72-c/IMG-20140802-WA0012.jpg)
23 WATIWA MBARONI KWA KUKUTWA NA BANGI MKOANI PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-p0Z5czUmZow/U90KR3WfjmI/AAAAAAAF8ec/8AAHw7Gmyg0/s1600/IMG-20140802-WA0012.jpg)
KATI YA WATUHUMIWA HAO 7 WAMESHAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUPATIKANA NA MAKOSA WALIYOKUTWA NAYO NA WENGINE WALIACHIWA BAADA YA KUPATIKANA NA MAKOSAJI HALISI.
KIASI HICHO CHA BANGI KINGEINGIA MWALONI KINGELETA...
10 years ago
VijimamboWATU WATATU MBARONI KWA UVUNJAJI NA WIZI MKOANI DODOMA
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Watu wawili mbaroni kwa kukutwa na pombe haramu ya Gongo lita 23
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la Polisi mkoa wa Singida limefanikiwa kukamata watu wawili kwa tuhuma ya kumiliki lita 23 za pombe haramu ya gongo na mitambo sita ya kutengenezea pombe hiyo haramu.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela amesema Elitruda Omari (40) mkazi wa Karakana Singida mjini,amekamatwa akimiliki lita 15 za pombe haramu ya moshi na mitambo mitano ya kutengenezea pombe...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TBplvLPVm0M/VAgMenYcRhI/AAAAAAAGdXI/MHkMfpebRJ8/s72-c/1.jpg)
MMOJA NA WENZAKE WAWILI MBARONI KWA KUKUTWA NA PEMBE ZA NDOVU MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TBplvLPVm0M/VAgMenYcRhI/AAAAAAAGdXI/MHkMfpebRJ8/s1600/1.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kw ajina la DOUGLAS S/O MNYEKE, Miaka 46, Mkaguru Mukulima na Mkazi wa kijiji cha Silwa Kata ya Pandambili, Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma akiwa na pembe za ndovu vipande vitatu vyenye uzito wa jumla ya kilo 12 na gramu 30 vyenye thamani ya Tshs. 11, 162, 250/= vikiwa nyumbani kwake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME –...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-x-xe0PkHBO4/VVfE3CdoukI/AAAAAAAHXq8/IC03iwNBw50/s72-c/unnamed.jpg)
WATATU MBARONI KWA UVUNJAJI NA WIZI MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-x-xe0PkHBO4/VVfE3CdoukI/AAAAAAAHXq8/IC03iwNBw50/s400/unnamed.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyekamatwa huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Yarabi Salama (Yarabi Salama guest house) katika Manispaa ya Dodoma.
Aliyekamatwa anafahamika kwa jina la MASAGARA S/O MESO, Mwenye miaka 40, Kabila Mzanaki wa Butiama, akiwa na funguo bandia 19, Master key 2, Bisibisi 2, Kisu kimoja, Tupa moja, Mikasi mitatu mikubwa ya kukatia vyuma, Msumeno ya kukatia vyuma mitano, Mitalimbo ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s72-c/unnamed+(51).jpg)
WATU WATANO (5) MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MADEREVA WAWILI WA BODABODA MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s1600/unnamed+(51).jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu watano (5) kwa kuhusika na mauaji ya madereva wawili wa bodaboda kwa nyakati tofauti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watuhumiwa watatu ambao ni ALEX S/O LETEMA LEWENJE mweye umri wa miaka 20, Mkaguru, ANDREA S/O MAJUTO CHIGUNDULA mwenye umri wa miaka 24, Mkaguru na NABAKI S/O MAUNGO MWIGOE mwnye umri wa miaka 23, Mkaguru wote...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Bomu larushwa ndani ya basi Kigoma, watatu wauawa, sita wajeruhiwa