Mbaroni kusafirisha milipuko kwenye basi
JESHI la Polisi mkoani Mtwara, linawashikilia watu wawili Shaha Saidi (45) na Shedrack Alaya (47), fundi seremala mkazi wa Mkuti, kwa kosa la kusafirisha pakiti 166 za milipuko ndani ya basi kinyume cha sheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CxV6-HCmHBE/VLJkB6fa9PI/AAAAAAABCME/xsV69S8omTI/s72-c/IMG-20150111-WA0021.jpg)
BASI LA KLM EXPRESS LAKAMATWA BAADA YA KUSAFIRISHA SHEHENA YA MILIPUKO ENEO LA KOROGWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-CxV6-HCmHBE/VLJkB6fa9PI/AAAAAAABCME/xsV69S8omTI/s640/IMG-20150111-WA0021.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Mbaroni kwa tuhuma kusafirisha wahamiaji haramu
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Mbaroni wakidaiwa kusafirisha ‘unga’ kutumia maiti
11 years ago
Habarileo27 Dec
Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo22 May
Dereva wa basi mbaroni Pwani
MADEREVA wawili akiwemo wa basi la Kampuni ya BM, wanashikiliwa na Polisi mkoani Pwani, kwa tuhuma za kugonga watu na kusababisha vifo kwenye matukio tofauti.
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Dereva basi la Muro mbaroni kwa kuua
JESHI la Polisi mkoani Iringa linamshikilia dereva wa basi la Prince Muro, Said Mtatifikolo kwa tuhuma za kumuua mtembea kwa miguu baada ya kumgonga. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
11 years ago
Habarileo25 Mar
Kesi ya kusafirisha twiga kwenye ndege yakwama
UPANDE wa mashitaka katika kesi ya usafirishaji wa wanyama hai aina ya twiga kwenda Doha, Qatar wameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kilimanjaro, kutoa hati ya kukamata mshitakiwa wa kwanza raia wa Pakstani, Kamran Ahmed ambaye hakufika mahakamani.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s72-c/unnamed+(80).jpg)
watu watatu mbaroni kwa kukutwa na bangi ndani ya basi la new force dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-a0oPnqdsDRY/U09qvFIk2rI/AAAAAAAFbco/7QqqkxsarzI/s1600/unnamed+(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pqfbYhGJkxs/U09qvBT5DqI/AAAAAAAFbcw/Vi92WzBnyvU/s1600/unnamed+(81).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N4sN91wd6w8/U09qvdy619I/AAAAAAAFbcs/8ZS_1MDZdEg/s1600/unnamed+(82).jpg)
10 years ago
Habarileo21 Aug
Bomu laua watu 3 kwenye basi
WATU watatu wamekufa na wengine sita kujeruhiwa na bomu la kurusha kwa mkono lililotupwa kwenye gari la abiria na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wilayani Buhigwe, katika Mkoa wa Kigoma.